Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 18:1

Marejeo

  • +Hes 18:24; Kum 10:9; Yos 13:33
  • +Hes 18:8; Yos 13:14; 1Ko 9:13

Kumbukumbu la Torati 18:2

Marejeo

  • +Hes 18:20

Kumbukumbu la Torati 18:4

Marejeo

  • +Kut 23:19; Hes 18:12; Kum 26:10; 2Nya 31:4; Ne 12:44

Kumbukumbu la Torati 18:5

Marejeo

  • +Kut 28:1; Hes 3:10; Kum 10:8; 17:12

Kumbukumbu la Torati 18:6

Marejeo

  • +Hes 35:2
  • +Kum 12:5; 16:2; Zb 26:8

Kumbukumbu la Torati 18:7

Marejeo

  • +2Nya 31:2

Kumbukumbu la Torati 18:8

Marejeo

  • +Law 7:10; Lu 10:7; 1Ti 5:18

Kumbukumbu la Torati 18:9

Marejeo

  • +Law 18:26; Kum 12:30

Kumbukumbu la Torati 18:10

Marejeo

  • +Law 18:21; Kum 12:31; 2Fa 16:3; 2Nya 28:3; Zb 106:37; Yer 19:5; 32:35
  • +2Fa 17:17; Mdo 16:16
  • +Law 19:26; Mdo 19:19
  • +Eze 21:21
  • +Kut 22:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

    Amkeni!,

    9/8/1993, uku. 27

Kumbukumbu la Torati 18:11

Marejeo

  • +Isa 47:9
  • +Law 20:27; 1Nya 10:13
  • +Law 19:31; 2Nya 33:6
  • +1Sa 28:3, 11; Isa 8:19; Gal 5:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 67

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

    Amkeni,

    6/2012, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 6/12 10-11

Kumbukumbu la Torati 18:12

Marejeo

  • +Law 18:24; Kum 9:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

Kumbukumbu la Torati 18:13

Marejeo

  • +2Sa 22:24; Zb 37:18; Mt 5:48; 2Pe 3:14

Kumbukumbu la Torati 18:14

Marejeo

  • +Law 19:26; 2Fa 21:2, 6
  • +Yos 13:22
  • +Zb 147:20; Mdo 14:16

Kumbukumbu la Torati 18:15

Marejeo

  • +Mwa 49:10; Hes 24:17; Lu 7:16; 24:19; Yoh 1:45; 6:14; Mdo 3:22; 7:37

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 146

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2009, kur. 25-28

    Amkeni!,

    4/8/2004, kur. 12-13

    Ulimwengu Usio na Vita, kur. 14-15

    “Kila Andiko,” kur. 40-41

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 4/15 25-28; g04 4/8 12-13

Kumbukumbu la Torati 18:16

Marejeo

  • +Kut 19:17; Kum 9:10
  • +Kut 20:19

Kumbukumbu la Torati 18:17

Marejeo

  • +Kum 5:28

Kumbukumbu la Torati 18:18

Marejeo

  • +Kut 34:28; Hes 12:3; Mal 3:1; Mt 4:2; 11:29; Lu 24:27, 44; Yoh 5:46
  • +Yoh 8:28; 17:8
  • +Yoh 12:49; 15:15; Ebr 1:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 146

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2009, kur. 25-28

    2/15/2000, uku. 24

    11/15/1991, kur. 28-31

    Ulimwengu Usio na Vita, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 4/15 25-28; w00 2/15 24

Kumbukumbu la Torati 18:19

Marejeo

  • +Mdo 3:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 146

    Ulimwengu Usio na Vita, kur. 14-15

Kumbukumbu la Torati 18:20

Marejeo

  • +Kum 13:1; Yer 14:14; 28:11; Eze 13:6; Mt 7:15
  • +Kum 13:2; 1Fa 18:19; Yer 23:13
  • +Kum 13:5; Yer 27:15; Zek 13:3

Kumbukumbu la Torati 18:21

Marejeo

  • +1Yo 4:1

Kumbukumbu la Torati 18:22

Marejeo

  • +Yer 28:15
  • +Met 29:25

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 18:1Hes 18:24; Kum 10:9; Yos 13:33
Kum. 18:1Hes 18:8; Yos 13:14; 1Ko 9:13
Kum. 18:2Hes 18:20
Kum. 18:4Kut 23:19; Hes 18:12; Kum 26:10; 2Nya 31:4; Ne 12:44
Kum. 18:5Kut 28:1; Hes 3:10; Kum 10:8; 17:12
Kum. 18:6Hes 35:2
Kum. 18:6Kum 12:5; 16:2; Zb 26:8
Kum. 18:72Nya 31:2
Kum. 18:8Law 7:10; Lu 10:7; 1Ti 5:18
Kum. 18:9Law 18:26; Kum 12:30
Kum. 18:10Law 18:21; Kum 12:31; 2Fa 16:3; 2Nya 28:3; Zb 106:37; Yer 19:5; 32:35
Kum. 18:102Fa 17:17; Mdo 16:16
Kum. 18:10Law 19:26; Mdo 19:19
Kum. 18:10Eze 21:21
Kum. 18:10Kut 22:18
Kum. 18:11Law 20:27; 1Nya 10:13
Kum. 18:11Law 19:31; 2Nya 33:6
Kum. 18:111Sa 28:3, 11; Isa 8:19; Gal 5:20
Kum. 18:11Isa 47:9
Kum. 18:12Law 18:24; Kum 9:4
Kum. 18:132Sa 22:24; Zb 37:18; Mt 5:48; 2Pe 3:14
Kum. 18:14Law 19:26; 2Fa 21:2, 6
Kum. 18:14Yos 13:22
Kum. 18:14Zb 147:20; Mdo 14:16
Kum. 18:15Mwa 49:10; Hes 24:17; Lu 7:16; 24:19; Yoh 1:45; 6:14; Mdo 3:22; 7:37
Kum. 18:16Kut 19:17; Kum 9:10
Kum. 18:16Kut 20:19
Kum. 18:17Kum 5:28
Kum. 18:18Kut 34:28; Hes 12:3; Mal 3:1; Mt 4:2; 11:29; Lu 24:27, 44; Yoh 5:46
Kum. 18:18Yoh 8:28; 17:8
Kum. 18:18Yoh 12:49; 15:15; Ebr 1:2
Kum. 18:19Mdo 3:23
Kum. 18:20Kum 13:1; Yer 14:14; 28:11; Eze 13:6; Mt 7:15
Kum. 18:20Kum 13:2; 1Fa 18:19; Yer 23:13
Kum. 18:20Kum 13:5; Yer 27:15; Zek 13:3
Kum. 18:211Yo 4:1
Kum. 18:22Yer 28:15
Kum. 18:22Met 29:25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 18:1-22

Kumbukumbu la Torati

18 “Hakuna fungu au urithi pamoja na Israeli litakalokuja kuwa la makuhani, Walawi,+ kabila zima la Lawi. Matoleo yanayotolewa kwa njia ya moto kwa Yehova, naam, urithi wake, watayala.+ 2 Kwa hiyo hakuna urithi utakaokuja kuwa wake katikati ya ndugu zake. Yehova ndiye urithi wake,+ kama vile alivyosema naye.

3 “Sasa hii itaendelea kuwa haki wanayostahili makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, iwe ni ng’ombe-dume au kondoo: Mtu atampa kuhani mfupa wa bega na mataya na tumbo. 4 Sehemu ya kwanza ya nafaka yako, divai yako mpya na mafuta yako na sufu yako ya kwanza iliyokatwa ya kundi lako unapaswa kumpa.+ 5 Kwa maana yeye ndiye ambaye Yehova Mungu wako amechagua kutoka kati ya makabila yako yote, asimame ili kuhudumu katika jina la Yehova, yeye na wanawe, sikuzote.+

6 “Na ikiwa Mlawi ataenda nje ya moja la majiji yako ya Israeli yote, ambapo alikaa kwa muda,+ naye aje kwa sababu ya tamaa yoyote ya nafsi yake mpaka mahali ambapo Yehova atapachagua,+ 7 atahudumu pia katika jina la Yehova Mungu wake sawa na ndugu zake wote, Walawi, wanaosimama hapo mbele za Yehova.+ 8 Atakula fungu linalolingana,+ mbali na kile anachopata kutokana na vitu anavyouza kati ya mali za mababu zake.

9 “Utakapokuwa umeingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, usijifunze kufanya kulingana na machukizo ya mataifa hayo.+ 10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+ 11 au anayefunga wengine kwa kuwatakia maovu+ au yeyote anayetafuta shauri kwa mwenye kuwasiliana na pepo+ au mjuzi wa kubashiri matukio+ au yeyote anayeuliza habari kutoka kwa wafu.+ 12 Kwa maana kila mtu anayefanya mambo hayo ni chukizo kwa Yehova, na kwa sababu ya machukizo hayo, Yehova Mungu wako anawafukuza kutoka mbele yako.+ 13 Utajionyesha kuwa huna kosa kwa Yehova Mungu wako.+

14 “Kwa maana mataifa haya unayoyafukuza yalikuwa yakiwasikiliza wale wanaofanya uchawi+ na wale wanaoagua;+ lakini wewe, Yehova Mungu wako hajakupa kitu chochote kama hicho.+ 15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+— 16 kulingana na yote uliyomwomba Yehova Mungu wako huko Horebu katika ile siku ya kutaniko,+ na kusema ‘Usiache nisikie tena sauti ya Yehova Mungu wangu, na huu moto mkubwa usiache niuone tena, nisije nikafa.’+ 17 Ndipo Yehova akaniambia, ‘Wamefanya vema katika kusema walilosema.+ 18 Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe;+ nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atasema nao yote nitakayomwamuru.+ 19 Na itatukia kwamba mtu ambaye hatasikiliza maneno yangu ambayo atayasema katika jina langu, mimi mwenyewe nitamtaka ajibu.+

20 “Hata hivyo, nabii atakayethubutu kusema katika jina langu neno ambalo sijamwamuru kusema+ au atakayesema katika jina la miungu mingine,+ nabii huyo lazima afe.+ 21 Na ikiwa utasema moyoni mwako: “Tutajuaje neno ambalo Yehova hajasema?”+ 22 Nabii anaposema katika jina la Yehova na neno hilo lisitukie au lisitimie, hilo ndilo neno ambalo Yehova hakusema.+ Kwa kimbelembele nabii huyo alilisema. Usimwogope.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki