Zaburi 147:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hajafanya hivyo kwa taifa lingine lolote;+Nao hawajajua maamuzi yake ya hukumu.+Msifuni Yah!+ Matendo 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika vizazi vilivyopita yeye aliwaruhusu mataifa yote waendelee kutembea katika njia zao,+