Mambo ya Walawi 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Bali kila toleo lililotiwa mafuta+ au lililo kavu+ litakuwa la wana wote wa Haruni, la mmoja sawa na mwingine. Luka 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo kaeni katika nyumba hiyo,+ mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba.+ 1 Timotheo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+
10 Bali kila toleo lililotiwa mafuta+ au lililo kavu+ litakuwa la wana wote wa Haruni, la mmoja sawa na mwingine.
7 Kwa hiyo kaeni katika nyumba hiyo,+ mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba.+
18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+