Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Sasa ikiwa hana uwezo+ wa kutoa njiwa-tetere wawili au hua wawili wachanga, basi ataleta sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini kwa ajili ya toleo la dhambi, uwe toleo lake la dhambi. Naye hatatia mafuta+ juu yake wala hataweka ubani juu yake, kwa maana ni toleo la dhambi.+

  • Hesabu 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 basi mwanamume huyo lazima amlete mke wake kwa kuhani+ na kuleta toleo lake pamoja naye, sehemu ya kumi ya efa ya unga wa shayiri. Hatamimina mafuta juu yake wala kuweka ubani+ juu yake, kwa sababu ni toleo la nafaka la wivu, toleo la ukumbusho linaloleta kosa kwenye kumbukumbu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki