Mambo ya Walawi 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Ikiwa hawezi kutoa njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga, basi atatoa sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja*+ ya unga laini ili kuwa dhabihu ya dhambi. Hapaswi kuutia mafuta au ubani kwa sababu ni dhabihu ya dhambi. Mambo ya Walawi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 5:11 w09 6/1 26 Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:11 Mnara wa Mlinzi,6/15/2013, kur. 15-166/1/2009, uku. 26
11 “‘Ikiwa hawezi kutoa njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga, basi atatoa sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja*+ ya unga laini ili kuwa dhabihu ya dhambi. Hapaswi kuutia mafuta au ubani kwa sababu ni dhabihu ya dhambi.