Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 5:1

Marejeo

  • +Mwa 2:7; 46:26; Eze 18:4
  • +Met 29:24
  • +Mwa 37:2; 1Sa 2:24; Est 6:2; Met 29:24; 1Ko 1:11; 5:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 58

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1997, uku. 27

    9/1/1987, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 8/15 27

Mambo ya Walawi 5:2

Marejeo

  • +Law 11:24; 17:15; 21:1; Hes 19:11; Kum 14:8
  • +Zb 19:12
  • +Law 4:13

Mambo ya Walawi 5:3

Marejeo

  • +Law 12:2; 13:3; 15:3; Hes 19:11

Mambo ya Walawi 5:4

Marejeo

  • +Yak 3:8; 1Pe 3:10
  • +Mal 3:5
  • +Amu 21:7; 1Sa 14:24; Mt 5:33; Mk 6:23

Mambo ya Walawi 5:5

Marejeo

  • +Law 26:40; Hes 5:7; Yos 7:19; Ezr 10:11; Zb 32:5; Met 28:13; 1Yo 1:9

Mambo ya Walawi 5:6

Marejeo

  • +Law 7:1; 14:12; 19:21; Hes 6:12
  • +Law 4:28
  • +Law 4:20; Yoh 1:29; 1Ti 2:5; Ebr 9:14; 1Yo 4:10

Mambo ya Walawi 5:7

Marejeo

  • +Law 12:8; 14:21; 2Ko 8:12; Yak 2:5
  • +Law 1:14; 15:14
  • +Law 14:22; Lu 2:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2009, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 6/1 26

Mambo ya Walawi 5:8

Marejeo

  • +Law 1:15

Mambo ya Walawi 5:9

Marejeo

  • +Law 1:5; 7:2; Ebr 9:22

Mambo ya Walawi 5:10

Marejeo

  • +Law 1:17
  • +Law 6:7; Ebr 2:17; 1Yo 2:2
  • +Kut 34:9

Mambo ya Walawi 5:11

Marejeo

  • +2Ko 8:12
  • +Kut 16:36
  • +Hes 5:15
  • +Law 5:6; Met 28:13; 2Ko 5:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2013, kur. 15-16

    6/1/2009, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 6/1 26

Mambo ya Walawi 5:12

Marejeo

  • +Law 6:15; Hes 5:26
  • +Law 4:35
  • +Law 4:3

Mambo ya Walawi 5:13

Marejeo

  • +Law 4:26
  • +Law 2:10; 7:6; 1Sa 2:28; 1Ko 9:13

Mambo ya Walawi 5:15

Marejeo

  • +Law 10:18; 22:14; Hes 18:9
  • +Law 6:6
  • +Kut 30:13; Law 27:25

Mambo ya Walawi 5:16

Marejeo

  • +Law 6:5; 22:14; 27:13; Hes 5:7
  • +Kut 32:30; Law 12:8; Hes 15:25; Ebr 2:17; 1Yo 2:2
  • +Kut 34:9; Law 4:20; 6:7; 19:22

Mambo ya Walawi 5:17

Marejeo

  • +Zb 19:12; Lu 12:48; Ebr 5:2
  • +Law 5:2; 1Ti 5:24

Mambo ya Walawi 5:18

Marejeo

  • +Law 5:7; 6:6
  • +Law 1:4
  • +Isa 53:12

Mambo ya Walawi 5:19

Marejeo

  • +Ezr 10:2; Zb 51:3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 5:1Mwa 2:7; 46:26; Eze 18:4
Law. 5:1Met 29:24
Law. 5:1Mwa 37:2; 1Sa 2:24; Est 6:2; Met 29:24; 1Ko 1:11; 5:1
Law. 5:2Law 11:24; 17:15; 21:1; Hes 19:11; Kum 14:8
Law. 5:2Zb 19:12
Law. 5:2Law 4:13
Law. 5:3Law 12:2; 13:3; 15:3; Hes 19:11
Law. 5:4Yak 3:8; 1Pe 3:10
Law. 5:4Mal 3:5
Law. 5:4Amu 21:7; 1Sa 14:24; Mt 5:33; Mk 6:23
Law. 5:5Law 26:40; Hes 5:7; Yos 7:19; Ezr 10:11; Zb 32:5; Met 28:13; 1Yo 1:9
Law. 5:6Law 7:1; 14:12; 19:21; Hes 6:12
Law. 5:6Law 4:28
Law. 5:6Law 4:20; Yoh 1:29; 1Ti 2:5; Ebr 9:14; 1Yo 4:10
Law. 5:7Law 12:8; 14:21; 2Ko 8:12; Yak 2:5
Law. 5:7Law 1:14; 15:14
Law. 5:7Law 14:22; Lu 2:24
Law. 5:8Law 1:15
Law. 5:9Law 1:5; 7:2; Ebr 9:22
Law. 5:10Law 1:17
Law. 5:10Law 6:7; Ebr 2:17; 1Yo 2:2
Law. 5:10Kut 34:9
Law. 5:112Ko 8:12
Law. 5:11Kut 16:36
Law. 5:11Hes 5:15
Law. 5:11Law 5:6; Met 28:13; 2Ko 5:21
Law. 5:12Law 6:15; Hes 5:26
Law. 5:12Law 4:35
Law. 5:12Law 4:3
Law. 5:13Law 4:26
Law. 5:13Law 2:10; 7:6; 1Sa 2:28; 1Ko 9:13
Law. 5:15Law 10:18; 22:14; Hes 18:9
Law. 5:15Law 6:6
Law. 5:15Kut 30:13; Law 27:25
Law. 5:16Law 6:5; 22:14; 27:13; Hes 5:7
Law. 5:16Kut 32:30; Law 12:8; Hes 15:25; Ebr 2:17; 1Yo 2:2
Law. 5:16Kut 34:9; Law 4:20; 6:7; 19:22
Law. 5:17Zb 19:12; Lu 12:48; Ebr 5:2
Law. 5:17Law 5:2; 1Ti 5:24
Law. 5:18Law 5:7; 6:6
Law. 5:18Law 1:4
Law. 5:18Isa 53:12
Law. 5:19Ezr 10:2; Zb 51:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 5:1-19

Mambo ya Walawi

5 “‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake.

2 “‘Au nafsi inapogusa kitu kisicho safi, iwe ni mzoga wa mnyama-mwitu asiye safi au mzoga wa mnyama wa kufugwa asiye safi au mzoga wa kiumbe kinachozaana kwa wingi kisicho safi,+ ingawa ulikuwa umefichwa machoni pake,+ bado yeye si safi naye amekuwa na hatia.+ 3 Au ikiwa anagusa uchafu wa mwanadamu kuhusiana na uchafu+ wowote wake ambao huenda ukamfanya asiwe safi, ingawa ulikuwa umefichwa machoni pake, na hata hivyo yeye mwenyewe amepata kujua, basi amekuwa na hatia.

4 “‘Au ikiwa nafsi inaapa kiasi cha kusema kwa midomo yake bila kufikiri+ kwamba itende uovu+ au kufanya mema kuhusiana na jambo lolote ambalo huenda mtu huyo akasema bila kufikiri katika ahadi yenye kiapo,+ ingawa lilikuwa limefichwa machoni pake, na hata hivyo yeye mwenyewe amepata kulijua, basi amekuwa na hatia kuhusiana na moja kati ya mambo hayo.

5 “‘Na itakuwa kwamba ikiwa anakuwa na hatia kwa sababu ya moja kati ya mambo hayo, ndipo atakapoungama+ jinsi ambavyo ametenda dhambi. 6 Naye ataleta toleo lake la hatia+ mbele za Yehova kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda, yaani, wa kike kutoka katika kundi, mwana-kondoo jike au mwana-mbuzi jike,+ kwa ajili ya toleo la dhambi; naye kuhani atamfanyia upatanisho kwa ajili ya dhambi yake.+

7 “‘Hata hivyo, ikiwa hana uwezo wa kutoa kondoo,+ basi atamletea Yehova njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga wawe toleo lake la hatia+ kwa ajili ya dhambi ambayo ametenda, mmoja kwa ajili ya toleo la dhambi na mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa. 8 Naye atawaleta kwa kuhani, ambaye kwanza atamtoa yule wa toleo la dhambi na kukongonyoa+ kichwa chake upande wa mbele wa shingo yake, lakini asikikate kabisa. 9 Naye atatapanya sehemu ya damu ya toleo la dhambi kando ya madhabahu, lakini damu inayobaki itaachwa itiririke kwenye msingi wa madhabahu.+ Hilo ni toleo la dhambi. 10 Na yule mwingine atamtoa kuwa toleo la kuteketezwa kulingana na utaratibu wa kawaida;+ naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa sababu ya dhambi yake ambayo ametenda, naye atasamehewa.+

11 “‘Sasa ikiwa hana uwezo+ wa kutoa njiwa-tetere wawili au hua wawili wachanga, basi ataleta sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini kwa ajili ya toleo la dhambi, uwe toleo lake la dhambi. Naye hatatia mafuta+ juu yake wala hataweka ubani juu yake, kwa maana ni toleo la dhambi.+ 12 Naye atauleta kwa kuhani, naye kuhani atachukua kipimo cha mkono mmoja uwe kumbukumbu+ lake naye ataufukiza kwenye madhabahu juu ya toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto.+ Hilo ni toleo la dhambi.+ 13 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa sababu ya dhambi yake ambayo ametenda, yoyote kati ya dhambi hizo, naye atasamehewa; nao utakuwa wa kuhani+ sawa na toleo la nafaka.’”

14 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 15 “Ikiwa nafsi inajiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kwa kutenda dhambi bila kukusudia juu ya mambo matakatifu ya Yehova,+ basi atamtolea Yehova kondoo-dume ambaye hana kasoro kutoka katika kundi, awe toleo lake la hatia,+ kulingana na ile thamani iliyokadiriwa ya shekeli za fedha,+ kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kuwa toleo la hatia. 16 Naye atalipa kwa ajili ya dhambi ambayo amepatendea mahali patakatifu naye ataongeza juu yake sehemu yake ya tano,+ naye atampa kuhani, ili kuhani afanye upatanisho+ kwa ajili yake kwa kutumia yule kondoo-dume wa toleo la hatia, naye atasamehewa.+

17 “Na ikiwa nafsi inatenda dhambi kwa kuwa anafanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe, ingawa hakujua,+ hata hivyo amekuwa na hatia na lazima atajibu kwa sababu ya kosa lake.+ 18 Naye atamleta kondoo-dume ambaye hana kasoro kutoka katika kundi kulingana na thamani iliyokadiriwa, kwa ajili ya toleo la hatia,+ kwa kuhani; naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa sababu ya kosa alilofanya bila kukusudia, ingawa yeye mwenyewe hakujua, naye atasamehewa.+ 19 Hilo ni toleo la hatia.+ Hakika amekuwa na hatia dhidi ya Yehova.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki