Mambo ya Walawi 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye atalipia dhambi aliyotenda dhidi ya mahali patakatifu na pia ataongeza sehemu ya tano ya thamani ya vitu hivyo.+ Atampa kuhani, ili kuhani amtolee dhabihu ya kufunika dhambi+ yake akitumia kondoo dume wa dhabihu ya hatia, naye atasamehewa.+
16 Naye atalipia dhambi aliyotenda dhidi ya mahali patakatifu na pia ataongeza sehemu ya tano ya thamani ya vitu hivyo.+ Atampa kuhani, ili kuhani amtolee dhabihu ya kufunika dhambi+ yake akitumia kondoo dume wa dhabihu ya hatia, naye atasamehewa.+