5 au kitu chochote ambacho huenda akaapa juu yake kwa uwongo, naye atatoa malipo+ kwa ajili yake kwa kiwango chake kamili, naye ataongezea juu yake sehemu yake ya tano. Siku ambayo hatia yake itahakikishwa atampa mwenyewe kitu hicho.
7 Nao lazima waungame+ dhambi yao ambayo wametenda, naye lazima alipie hatia yake kwa ukamili wake, pia aongeze sehemu yake ya tano juu yake,+ naye lazima ampe yule ambaye alimtendea kosa.