Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 22:2

Marejeo

  • +Law 21:6; Zb 83:18; 135:13
  • +Kut 28:38; Hes 18:32; Kum 15:19

Mambo ya Walawi 22:3

Marejeo

  • +Law 7:20

Mambo ya Walawi 22:4

Marejeo

  • +Law 13:2
  • +Law 15:2
  • +Law 14:2; 15:13
  • +Law 21:1; Hes 19:11, 22
  • +Law 15:16

Mambo ya Walawi 22:5

Marejeo

  • +Law 11:24, 43
  • +Law 15:7, 19

Mambo ya Walawi 22:6

Marejeo

  • +Hes 19:7; 1Ko 6:11; Ebr 10:22

Mambo ya Walawi 22:7

Marejeo

  • +Law 21:22; Hes 18:11

Mambo ya Walawi 22:8

Marejeo

  • +Kut 22:31; Law 17:15; Kum 14:21

Mambo ya Walawi 22:9

Marejeo

  • +Kut 28:43; Law 10:2

Mambo ya Walawi 22:10

Marejeo

  • +Kut 29:33; Mt 12:4

Mambo ya Walawi 22:11

Marejeo

  • +Hes 18:11

Mambo ya Walawi 22:13

Marejeo

  • +Mwa 38:11
  • +Law 10:14; Hes 18:19

Mambo ya Walawi 22:14

Marejeo

  • +Law 5:15
  • +Law 5:16; 27:13

Mambo ya Walawi 22:15

Marejeo

  • +Hes 18:32; Eze 22:26

Mambo ya Walawi 22:18

Marejeo

  • +Hes 15:14, 16
  • +Law 7:16; 23:38; Hes 15:3; Zb 22:25; 56:12
  • +Kum 12:6

Mambo ya Walawi 22:19

Marejeo

  • +Law 7:18; 23:11
  • +Law 1:3; 22:22

Mambo ya Walawi 22:20

Marejeo

  • +Kum 15:21; 17:1; Mal 1:8; Ebr 9:14; 1Pe 1:19

Mambo ya Walawi 22:21

Marejeo

  • +Law 3:1
  • +Hes 15:8; Kum 23:21; Zb 50:14; 61:8; Mhu 5:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2019, uku. 3

Mambo ya Walawi 22:22

Marejeo

  • +Kum 15:21; Mal 1:8
  • +Law 3:3, 14

Mambo ya Walawi 22:23

Marejeo

  • +Law 21:18

Mambo ya Walawi 22:24

Marejeo

  • +Law 21:20; Kum 23:1

Mambo ya Walawi 22:25

Marejeo

  • +Law 21:21
  • +Law 7:18; 19:7

Mambo ya Walawi 22:27

Marejeo

  • +Kut 22:30

Mambo ya Walawi 22:28

Marejeo

  • +Kut 23:19; Kum 22:6; Met 12:10

Mambo ya Walawi 22:29

Marejeo

  • +Law 7:12; Zb 107:22; 116:17; Amo 4:5

Mambo ya Walawi 22:30

Marejeo

  • +Law 7:15
  • +Kut 12:10

Mambo ya Walawi 22:31

Marejeo

  • +Law 19:37; Hes 15:40; Kum 4:40

Mambo ya Walawi 22:32

Marejeo

  • +Law 18:21; 19:12; Amo 2:7
  • +Law 10:3; Isa 29:23; Lu 11:2
  • +Kut 19:5; Law 20:8; 21:8; Yoh 17:17

Mambo ya Walawi 22:33

Marejeo

  • +Kut 6:7; Law 11:45; Hes 15:41

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 22:2Law 21:6; Zb 83:18; 135:13
Law. 22:2Kut 28:38; Hes 18:32; Kum 15:19
Law. 22:3Law 7:20
Law. 22:4Law 13:2
Law. 22:4Law 15:2
Law. 22:4Law 14:2; 15:13
Law. 22:4Law 21:1; Hes 19:11, 22
Law. 22:4Law 15:16
Law. 22:5Law 11:24, 43
Law. 22:5Law 15:7, 19
Law. 22:6Hes 19:7; 1Ko 6:11; Ebr 10:22
Law. 22:7Law 21:22; Hes 18:11
Law. 22:8Kut 22:31; Law 17:15; Kum 14:21
Law. 22:9Kut 28:43; Law 10:2
Law. 22:10Kut 29:33; Mt 12:4
Law. 22:11Hes 18:11
Law. 22:13Mwa 38:11
Law. 22:13Law 10:14; Hes 18:19
Law. 22:14Law 5:15
Law. 22:14Law 5:16; 27:13
Law. 22:15Hes 18:32; Eze 22:26
Law. 22:18Hes 15:14, 16
Law. 22:18Law 7:16; 23:38; Hes 15:3; Zb 22:25; 56:12
Law. 22:18Kum 12:6
Law. 22:19Law 7:18; 23:11
Law. 22:19Law 1:3; 22:22
Law. 22:20Kum 15:21; 17:1; Mal 1:8; Ebr 9:14; 1Pe 1:19
Law. 22:21Law 3:1
Law. 22:21Hes 15:8; Kum 23:21; Zb 50:14; 61:8; Mhu 5:4
Law. 22:22Kum 15:21; Mal 1:8
Law. 22:22Law 3:3, 14
Law. 22:23Law 21:18
Law. 22:24Law 21:20; Kum 23:1
Law. 22:25Law 7:18; 19:7
Law. 22:25Law 21:21
Law. 22:27Kut 22:30
Law. 22:28Kut 23:19; Kum 22:6; Met 12:10
Law. 22:29Law 7:12; Zb 107:22; 116:17; Amo 4:5
Law. 22:30Law 7:15
Law. 22:30Kut 12:10
Law. 22:31Law 19:37; Hes 15:40; Kum 4:40
Law. 22:32Law 18:21; 19:12; Amo 2:7
Law. 22:32Law 10:3; Isa 29:23; Lu 11:2
Law. 22:32Kut 19:5; Law 20:8; 21:8; Yoh 17:17
Law. 22:33Kut 6:7; Law 11:45; Hes 15:41
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 22:1-33

Mambo ya Walawi

22 Na Yehova akazidi kusema na Musa, na kumwambia: 2 “Sema na Haruni na wanawe, kwamba wajitenge na vitu vitakatifu vya wana wa Israeli nao wasilitie unajisi jina langu takatifu+ katika vitu ambavyo wananitakasia.+ Mimi ni Yehova. 3 Waambie, ‘Katika vizazi vyenu vyote mtu yeyote wa uzao wenu wote atakayekaribia vitu vitakatifu, ambavyo wana wa Israeli watamtakasia Yehova, wakati ambapo uchafu wake ungali juu yake,+ nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka mbele zangu. Mimi ni Yehova. 4 Hakuna mtu yeyote wa uzao wa Haruni wakati ambapo ana ukoma+ au mtiririko unaotoka+ atakayekula vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala yule atakayegusa mtu yeyote asiye safi kwa nafsi iliyokufa+ au mtu ambaye shahawa itamtoka,+ 5 wala mtu atakayegusa kitu chochote kinachozaana kwa wingi ambacho si safi kwake+ au atakayemgusa mtu asiye safi kwake kuhusiana na uchafu wake wowote.+ 6 Nafsi itakayogusa kitu chochote cha vitu hivyo itakuwa si safi mpaka jioni naye hatakula kitu chochote katika vitu vitakatifu, lakini ataoga mwili wake katika maji.+ 7 Jua likiisha kutua, yeye pia atakuwa safi, na baadaye anaweza kula sehemu ya vitu vitakatifu, kwa sababu ni mkate wake.+ 8 Pia hatakula mwili wowote uliokufa tayari au kitu chochote kilichoraruliwa na wanyama-mwitu na kuwa asiye safi kutokana nacho.+ Mimi ni Yehova.

9 “‘Nao watashika wajibu wao kwangu, wasije wakachukua dhambi kwa sababu yake nao wakafa+ kwa sababu yake kwa sababu walikuwa wakivitia unajisi. Mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.

10 “‘Na hakuna mgeni yeyote atakayekula kitu chochote kilicho kitakatifu.+ Hakuna mkaaji aliye pamoja na kuhani wala mfanyakazi wa kukodiwa atakayekula kitu chochote kilicho kitakatifu. 11 Lakini ikiwa kuhani atanunua nafsi, akifanya ununuzi kwa pesa zake, anaweza kushiriki kukila. Nao watumwa waliozaliwa katika nyumba yake, wanaweza kushiriki kuula mkate wake.+ 12 Na ikiwa binti ya kuhani atakuwa wa mwanamume aliye mgeni, yeye binti huyo hatakula mchango wa vitu vitakatifu. 13 Lakini ikiwa binti ya kuhani atakuwa mjane au kutalikiwa akiwa hana uzao, naye arudi nyumbani kwa baba yake kama katika ujana wake,+ anaweza kula sehemu ya mkate wa baba yake;+ lakini hakuna mgeni yeyote atakayeula.

14 “‘Sasa ikiwa mtu atakula kitu kitakatifu bila kukusudia,+ basi ataongeza sehemu yake ya tano+ juu yake naye atampa kuhani hicho kitu kitakatifu. 15 Kwa hiyo hawatatia unajisi vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, ambavyo huenda wakamchangia Yehova,+ 16 na kuwafanya wapate adhabu ya hatia kwa sababu ya kula kwao vitu vyao vitakatifu; kwa maana mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.’”

17 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 18 “Sema na Haruni na wanawe na wana wote wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni katika Israeli anayetoa toleo lake,+ kwa ajili ya nadhiri+ yao yoyote au kwa ajili ya matoleo yao ya hiari,+ ambayo huenda wakamtolea Yehova kwa ajili ya toleo la kuteketezwa, 19 ili kupata kibali+ kwa ajili yenu, lazima awe hana kasoro,+ wa kiume kutoka katikati ya mifugo, katikati ya wana-kondoo dume au katikati ya mbuzi. 20 Kitu chochote chenye kasoro hamtakitoa,+ kwa sababu hakitawaletea ninyi kibali.

21 “‘Na ikiwa mtu atamtolea Yehova dhabihu ya ushirika+ ili kulipa nadhiri+ au kama toleo la hiari, atakuwa asiye na kasoro katikati ya mifugo au kundi, ili kupata kibali. Kasoro yoyote isiwe ndani yake. 22 Hakuna dhabihu yoyote iliyo na upofu au mvunjiko au mkato au chunjua au vigaga au mba,+ yeyote kati ya hao msimtolee Yehova, wala hakuna toleo lolote linalotolewa kwa njia ya moto+ kutoka kati ya hao mtakaloweka juu ya madhabahu ya Yehova. 23 Na kuhusu ng’ombe-dume au kondoo mwenye kiungo kirefu mno au kifupi mno,+ unaweza kumtoa awe toleo la hiari; lakini kwa ajili ya nadhiri hatapokewa kwa kibali. 24 Lakini mwenye mapumbu+ yaliyominywa au yaliyovunjwa au yaliyong’olewa au yaliyokatwa hamtamtolea Yehova, na katika nchi yenu hamtawatoa. 25 Na yeyote kati ya hao kutoka katika mkono wa mgeni hamtamtoa awe mkate wa Mungu wenu, kwa sababu uharibifu wao umo ndani yao. Kuna kasoro+ ndani yao. Hawatakubaliwa kwa ajili yenu nanyi mpate kibali.’”+

26 Na Yehova akazidi kusema na Musa, na kumwambia: 27 “Ng’ombe-dume au mwana-kondoo dume au mbuzi akizaliwa, basi atakaa na mama yake siku saba,+ lakini kuanzia siku ya nane na kuendelea atapokewa kwa kibali kama toleo, toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto. 28 Naye ng’ombe na kondoo, hamtamchinja yeye pamoja na mtoto wake katika siku moja.+

29 “Na ikiwa mtatoa dhabihu ya shukrani kwa Yehova,+ mtaitoa ili kupata kibali kwa ajili yenu. 30 Katika siku hiyo italiwa.+ Hamtaacha yoyote mpaka asubuhi.+ Mimi ni Yehova.

31 “Nanyi mtazishika amri zangu na kuzitenda.+ Mimi ni Yehova. 32 Nanyi hamtalitia unajisi jina langu takatifu,+ nami nitatakaswa katikati ya wana wa Israeli.+ Mimi ni Yehova ninayewatakasa ninyi,+ 33 Mimi ninayewatoa katika nchi ya Misri ili kujionyesha kuwa Mungu kwenu.+ Mimi ni Yehova.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki