Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na ikiwa atakuwa na kasoro, awe kilema au kipofu, kasoro yoyote mbaya, usimtoe dhabihu kwa Yehova Mungu wako.+

  • Kumbukumbu la Torati 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Usimtolee Yehova Mungu wako dhabihu ya ng’ombe-dume au kondoo mwenye kasoro, kitu chochote kibaya; kwa sababu ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+

  • Malaki 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mnapotoa mnyama kipofu kwa ajili ya dhabihu mnasema: “Si vibaya.” Na mnapotoa mnyama kilema au mgonjwa mnasema: “Si vibaya.” ’ ”+

      “Tafadhali, mleteni kwa gavana wenu. Je, atawafurahia ninyi, au je, atawapokea kwa fadhili?” Yehova wa majeshi amesema.

  • Waebrania 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai?

  • 1 Petro 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki