Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 15:2

Marejeo

  • +Law 25:2
  • +Yak 2:13
  • +Kum 31:10

Kumbukumbu la Torati 15:3

Marejeo

  • +Kut 12:43; Kum 14:21; 23:20

Kumbukumbu la Torati 15:4

Marejeo

  • +Kum 14:29; 28:8; Met 11:25; 14:21; 28:27
  • +Hes 33:53; Zb 135:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 122

Kumbukumbu la Torati 15:5

Marejeo

  • +Kum 4:40; Yos 1:7; Isa 1:19

Kumbukumbu la Torati 15:6

Marejeo

  • +Kum 28:12; Met 22:7
  • +Kum 28:13; 1Fa 4:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 122-123

Kumbukumbu la Torati 15:7

Marejeo

  • +Met 21:13; Yak 2:16; 1Yo 3:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    9/15/2010, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 9/15 8

Kumbukumbu la Torati 15:8

Marejeo

  • +Law 25:35; Zb 37:26; Met 19:17; Mt 5:42; Lu 6:35; Gal 2:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    9/15/2010, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 9/15 8

Kumbukumbu la Torati 15:9

Marejeo

  • +Met 4:23; Yer 17:10; Mt 15:19
  • +Kum 15:1
  • +Met 28:22; 1Pe 4:9
  • +Kut 22:23; Kum 24:15; Ayu 34:28; Met 21:13; Yak 5:4
  • +Mt 25:45; Yak 4:17

Kumbukumbu la Torati 15:10

Marejeo

  • +Mdo 20:35; 2Ko 9:7; 1Ti 6:18; Ebr 13:16
  • +Kum 15:4; 24:19; Zb 41:1; Met 22:9; Isa 32:8; 2Ko 9:8

Kumbukumbu la Torati 15:11

Marejeo

  • +Mt 26:11
  • +Met 3:27; Mt 5:42; Lu 12:33; Mdo 2:45

Kumbukumbu la Torati 15:12

Marejeo

  • +Kut 21:2; Law 25:39
  • +Kum 15:1; Yer 34:14

Kumbukumbu la Torati 15:13

Marejeo

  • +Kut 3:21; 12:36; Met 3:27; Kol 4:1

Kumbukumbu la Torati 15:14

Marejeo

  • +Met 10:22; Mdo 20:35

Kumbukumbu la Torati 15:15

Marejeo

  • +Kut 20:2; Kum 5:15; Mt 18:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2014, uku. 19

Kumbukumbu la Torati 15:16

Marejeo

  • +Kut 21:5

Kumbukumbu la Torati 15:17

Marejeo

  • +Kut 21:6

Kumbukumbu la Torati 15:18

Marejeo

  • +Kum 15:10
  • +Law 19:13; Kum 24:15
  • +Mwa 30:30

Kumbukumbu la Torati 15:19

Marejeo

  • +Kut 13:2; 34:19; Law 27:26; Hes 3:13; 18:15, 17
  • +Kut 22:30; Kum 12:6

Kumbukumbu la Torati 15:20

Marejeo

  • +Kum 12:5; 14:23; 16:11

Kumbukumbu la Torati 15:21

Marejeo

  • +Law 22:20; Kum 17:1; Mal 1:8; Ebr 9:14

Kumbukumbu la Torati 15:22

Marejeo

  • +Kum 12:15, 22
  • +Kum 14:5; 1Fa 4:23

Kumbukumbu la Torati 15:23

Marejeo

  • +Mwa 9:4; Law 7:26; 17:10; 1Sa 14:33; Mdo 15:20
  • +Law 17:13; Kum 12:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2000, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 10/15 30-31

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 15:2Law 25:2
Kum. 15:2Yak 2:13
Kum. 15:2Kum 31:10
Kum. 15:3Kut 12:43; Kum 14:21; 23:20
Kum. 15:4Kum 14:29; 28:8; Met 11:25; 14:21; 28:27
Kum. 15:4Hes 33:53; Zb 135:12
Kum. 15:5Kum 4:40; Yos 1:7; Isa 1:19
Kum. 15:6Kum 28:12; Met 22:7
Kum. 15:6Kum 28:13; 1Fa 4:24
Kum. 15:7Met 21:13; Yak 2:16; 1Yo 3:17
Kum. 15:8Law 25:35; Zb 37:26; Met 19:17; Mt 5:42; Lu 6:35; Gal 2:10
Kum. 15:9Met 4:23; Yer 17:10; Mt 15:19
Kum. 15:9Kum 15:1
Kum. 15:9Met 28:22; 1Pe 4:9
Kum. 15:9Kut 22:23; Kum 24:15; Ayu 34:28; Met 21:13; Yak 5:4
Kum. 15:9Mt 25:45; Yak 4:17
Kum. 15:10Mdo 20:35; 2Ko 9:7; 1Ti 6:18; Ebr 13:16
Kum. 15:10Kum 15:4; 24:19; Zb 41:1; Met 22:9; Isa 32:8; 2Ko 9:8
Kum. 15:11Mt 26:11
Kum. 15:11Met 3:27; Mt 5:42; Lu 12:33; Mdo 2:45
Kum. 15:12Kut 21:2; Law 25:39
Kum. 15:12Kum 15:1; Yer 34:14
Kum. 15:13Kut 3:21; 12:36; Met 3:27; Kol 4:1
Kum. 15:14Met 10:22; Mdo 20:35
Kum. 15:15Kut 20:2; Kum 5:15; Mt 18:33
Kum. 15:16Kut 21:5
Kum. 15:17Kut 21:6
Kum. 15:18Kum 15:10
Kum. 15:18Law 19:13; Kum 24:15
Kum. 15:18Mwa 30:30
Kum. 15:19Kut 13:2; 34:19; Law 27:26; Hes 3:13; 18:15, 17
Kum. 15:19Kut 22:30; Kum 12:6
Kum. 15:20Kum 12:5; 14:23; 16:11
Kum. 15:21Law 22:20; Kum 17:1; Mal 1:8; Ebr 9:14
Kum. 15:22Kum 12:15, 22
Kum. 15:22Kum 14:5; 1Fa 4:23
Kum. 15:23Mwa 9:4; Law 7:26; 17:10; 1Sa 14:33; Mdo 15:20
Kum. 15:23Law 17:13; Kum 12:16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 15:1-23

Kumbukumbu la Torati

15 “Mwishoni mwa kila miaka saba mtaachilia huru. 2 Nayo hii ndiyo namna ya kuachilia huru:+ kila mkopeshaji ataachilia huru deni ambalo amemkopesha mwenzake. Hatamkaza mwenzake au ndugu yake afanye malipo,+ kwa sababu kuachilia huru kwa ajili ya Yehova lazima kutangazwe.+ 3 Mgeni+ unaweza kumkaza afanye malipo; lakini chochote kilicho chako kitakachokuwa na ndugu yako, mkono wako na ukiachilie huru. 4 Hata hivyo, mtu yeyote asije kuwa maskini katikati yako, kwa sababu hakika Yehova atakubariki+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi, uimiliki,+ 5 ikiwa tu hutakosa kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako nawe uwe mwangalifu kufanya amri yote hii ninayokuamuru leo.+ 6 Kwa maana hakika Yehova Mungu wako atakubariki kama vile alivyokuahidi, nawe utayakopesha+ mataifa mengi kwa rehani, lakini wewe mwenyewe hutakopa; nawe utatawala juu ya mataifa mengi, lakini hayo hayatatawala juu yako.+

7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+ 8 Kwa maana unapaswa kumfungulia mkono kwa ukarimu+ nawe umkopeshe kwa rehani kwa kadiri anayohitaji, kile anachopungukiwa. 9 Jiangalie neno baya lisije likawa moyoni mwako,+ na kusema, ‘Mwaka wa saba, mwaka wa kuachilia huru, umekaribia,’+ nalo jicho lako likose ukarimu kumwelekea ndugu yako aliye maskini,+ nawe usimpe chochote, naye amlilie Yehova juu yako,+ nayo iwe dhambi kwako.+ 10 Unapaswa kumpa hata iweje,+ nao moyo wako usiwe mchoyo unapompa, maana kwa sababu hiyo Yehova Mungu wako atakubariki katika kila tendo lako na katika kila kazi unayofanya.+ 11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+

12 “Ikiwa utauziwa ndugu yako, mwanamume Mwebrania au mwanamke Mwebrania,+ naye amekutumikia kwa miaka sita, basi katika mwaka wa saba utamruhusu aondoke kwako kama mtu aliyewekwa huru.+ 13 Na ikiwa utamruhusu aondoke kwako kama mtu aliyewekwa huru, usimwache aondoke mikono mitupu.+ 14 Usikose kumtayarishia kitu fulani kutoka katika kundi lako na uwanja wako wa kupuria na mafuta yako na shinikizo lako la divai. Kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekubariki, unapaswa kumpa vivyo hivyo.+ 15 Nawe ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri na Yehova Mungu wako alikukomboa.+ Ndiyo sababu ninakuamuru jambo hili leo.

16 “Na itatukia kwamba ikiwa atakuambia, ‘Sitakuacha!’ kwa sababu anakupenda wewe na nyumba yako, kwa maana mambo yalikuwa yakimwendea vema alipokuwa pamoja nawe,+ 17 utachukua msumari na kuupenyeza kwenye sikio lake na kwenye mlango, naye atakuwa mtumwa wako mpaka wakati usio na kipimo.+ Nawe utamfanyia kijakazi wako vivyo hivyo. 18 Lisiwe jambo gumu machoni pako unapomruhusu aondoke katika ushirika wako akiwa mtu aliyewekwa huru;+ kwa sababu kwa thamani mara mbili ya mfanyakazi wa kukodiwa+ alikutumikia kwa miaka sita, na Yehova Mungu wako amekubariki katika kila kitu ambacho ulikuwa ukifanya.+

19 “Kila mwanamume mzaliwa wa kwanza atakayezaliwa katika mifugo yako na katika kundi lako utamtakasa kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye utumishi wowote na mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume wako, wala kukata manyoya ya mzaliwa wa kwanza wa kundi lako.+ 20 Utamla mbele za Yehova Mungu wako mwaka baada ya mwaka katika mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua,+ wewe na nyumba yako. 21 Na ikiwa atakuwa na kasoro, awe kilema au kipofu, kasoro yoyote mbaya, usimtoe dhabihu kwa Yehova Mungu wako.+ 22 Ndani ya malango yako utamla, asiye safi na aliye safi pamoja,+ kama yule swala na kama yule paa.+ 23 Ila tu usile damu.+ Utaimwaga kwenye udongo kama maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki