Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 14:1

Marejeo

  • +Isa 63:16; 64:8; Yer 3:19; 1Ko 8:6
  • +Law 19:28; Yer 16:6
  • +Law 21:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2004, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 9/15 27

Kumbukumbu la Torati 14:2

Marejeo

  • +Kut 19:6; Law 19:2; 20:26; Kum 28:9; Ezr 9:2; 1Pe 1:15
  • +Kut 19:5; Kum 7:6; 26:18

Kumbukumbu la Torati 14:3

Marejeo

  • +Law 11:43; 20:25; Eze 4:14; Mdo 10:14

Kumbukumbu la Torati 14:4

Marejeo

  • +Law 11:2

Kumbukumbu la Torati 14:5

Marejeo

  • +1Fa 4:23

Kumbukumbu la Torati 14:6

Marejeo

  • +Law 11:3

Kumbukumbu la Torati 14:7

Marejeo

  • +Law 11:4
  • +Law 11:6
  • +Law 11:5

Kumbukumbu la Torati 14:8

Marejeo

  • +Law 11:7; Isa 65:4; 66:17
  • +Law 11:8

Kumbukumbu la Torati 14:9

Marejeo

  • +Law 11:9

Kumbukumbu la Torati 14:10

Marejeo

  • +Law 11:10

Kumbukumbu la Torati 14:12

Marejeo

  • +Law 11:13

Kumbukumbu la Torati 14:13

Marejeo

  • +Law 11:14

Kumbukumbu la Torati 14:14

Marejeo

  • +Law 11:15

Kumbukumbu la Torati 14:15

Marejeo

  • +Law 11:16

Kumbukumbu la Torati 14:16

Marejeo

  • +Law 11:17

Kumbukumbu la Torati 14:17

Marejeo

  • +Law 11:18

Kumbukumbu la Torati 14:18

Marejeo

  • +Law 11:19

Kumbukumbu la Torati 14:19

Marejeo

  • +Law 11:20

Kumbukumbu la Torati 14:21

Marejeo

  • +Kut 22:31; Law 17:15; 22:8; Eze 4:14
  • +Kut 23:19; 34:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    7/1/2005, uku. 27

    9/15/2004, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 7/1 27; w04 9/15 26

Kumbukumbu la Torati 14:22

Marejeo

  • +Kum 12:11; 26:12

Kumbukumbu la Torati 14:23

Marejeo

  • +Kum 12:6
  • +Kum 12:17; 15:19
  • +Zb 5:7; 19:9; 111:10; Met 8:13; Isa 8:13; Ebr 12:28

Kumbukumbu la Torati 14:24

Marejeo

  • +Kut 23:31; Kum 11:24; 12:21
  • +Kum 12:5
  • +Kut 23:25; Kum 28:5; Met 10:22; Mal 3:10

Kumbukumbu la Torati 14:26

Marejeo

  • +Kum 12:15
  • +Hes 28:7
  • +Kum 12:7; 26:11; Zb 100:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    2/1/2010, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/1 23

Kumbukumbu la Torati 14:27

Marejeo

  • +Hes 18:21; Kum 12:19; 2Nya 31:4; 1Ko 9:13
  • +Hes 18:20; 26:62; Kum 10:9; Yos 14:3

Kumbukumbu la Torati 14:28

Marejeo

  • +Kum 26:12

Kumbukumbu la Torati 14:29

Marejeo

  • +Kum 12:12
  • +Kut 22:21; Kum 10:18
  • +Kum 26:12; Yak 1:27
  • +Kum 15:10; Zb 41:1; Mal 3:10
  • +Met 11:24; 19:17; Lu 6:35

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 14:1Isa 63:16; 64:8; Yer 3:19; 1Ko 8:6
Kum. 14:1Law 19:28; Yer 16:6
Kum. 14:1Law 21:5
Kum. 14:2Kut 19:6; Law 19:2; 20:26; Kum 28:9; Ezr 9:2; 1Pe 1:15
Kum. 14:2Kut 19:5; Kum 7:6; 26:18
Kum. 14:3Law 11:43; 20:25; Eze 4:14; Mdo 10:14
Kum. 14:4Law 11:2
Kum. 14:51Fa 4:23
Kum. 14:6Law 11:3
Kum. 14:7Law 11:4
Kum. 14:7Law 11:6
Kum. 14:7Law 11:5
Kum. 14:8Law 11:7; Isa 65:4; 66:17
Kum. 14:8Law 11:8
Kum. 14:9Law 11:9
Kum. 14:10Law 11:10
Kum. 14:12Law 11:13
Kum. 14:13Law 11:14
Kum. 14:14Law 11:15
Kum. 14:15Law 11:16
Kum. 14:16Law 11:17
Kum. 14:17Law 11:18
Kum. 14:18Law 11:19
Kum. 14:19Law 11:20
Kum. 14:21Kut 22:31; Law 17:15; 22:8; Eze 4:14
Kum. 14:21Kut 23:19; 34:26
Kum. 14:22Kum 12:11; 26:12
Kum. 14:23Kum 12:6
Kum. 14:23Kum 12:17; 15:19
Kum. 14:23Zb 5:7; 19:9; 111:10; Met 8:13; Isa 8:13; Ebr 12:28
Kum. 14:24Kut 23:31; Kum 11:24; 12:21
Kum. 14:24Kum 12:5
Kum. 14:24Kut 23:25; Kum 28:5; Met 10:22; Mal 3:10
Kum. 14:26Kum 12:15
Kum. 14:26Hes 28:7
Kum. 14:26Kum 12:7; 26:11; Zb 100:2
Kum. 14:27Hes 18:21; Kum 12:19; 2Nya 31:4; 1Ko 9:13
Kum. 14:27Hes 18:20; 26:62; Kum 10:9; Yos 14:3
Kum. 14:28Kum 26:12
Kum. 14:29Kum 12:12
Kum. 14:29Kut 22:21; Kum 10:18
Kum. 14:29Kum 26:12; Yak 1:27
Kum. 14:29Kum 15:10; Zb 41:1; Mal 3:10
Kum. 14:29Met 11:24; 19:17; Lu 6:35
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 14:1-29

Kumbukumbu la Torati

14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu.+ Msijikatekate+ wala kujitia upara+ kwenye mapaji ya nyuso zenu kwa ajili ya mtu aliyekufa. 2 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu+ kwa Yehova Mungu wenu, naye Yehova amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee,+ kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.

3 “Usile kitu chenye kuchukiza cha namna yoyote.+ 4 Hii ndiyo aina ya wanyama mnaoweza kula:+ ng’ombe, kondoo na mbuzi, 5 paa+ na swala na kulungu na mbuzi-mwitu na palahala na kondoo-mwitu na paa-mbuzi; 6 na kila mnyama mwenye ukwato uliopasuka na ambaye ana mpasuko kwenye kwato mbili, mnyama anayecheua kati ya wanyama.+ Huyo mnaweza kumla. 7 Aina hii tu ndiyo ambayo hampaswi kula kati ya wale wanaocheua au wenye ukwato uliopasuka, wenye mwatuko: ngamia+ na sungura+ na wibari,+ kwa sababu hao hucheua lakini hawana ukwato uliopasuka. Hao si safi kwenu. 8 Nguruwe+ pia, kwa sababu ana ukwato uliopasuka lakini hacheui. Huyo si safi kwenu. Msile yoyote ya nyama yao, na mizoga yao msiiguse.+

9 “Aina hii kutoka kati ya kila kitu kilicho majini mnaweza kula: Kila kitu chenye mapezi na magamba mnaweza kula.+ 10 Na kila kitu ambacho hakina mapezi wala magamba msile.+ Hicho si safi kwenu.

11 “Ndege yeyote aliye safi mnaweza kula. 12 Lakini hawa ndio ndege ambao hampaswi kuwala: tai na furukombe na tai-mzoga mweusi,+ 13 na mwewe mwekundu na mwewe mweusi+ na ndege-mbua kulingana na aina yake; 14 na kila kunguru+ kulingana na aina yake; 15 na mbuni+ na bundi na shakwe na kipanga kulingana na aina yake; 16 na bundi mdogo na bundi mwenye masikio marefu+ na bata-maji, 17 na mwari+ na tai-mzoga na mnandi, 18 na korongo na kulastara kulingana na aina yake, na hudihudi na popo.+ 19 Na kila kiumbe kinachozaana kwa wingi chenye mabawa si safi kwenu.+ Havipaswi kuliwa. 20 Kiumbe chochote safi kinachoruka mnaweza kula.

21 “Msile mwili wowote uliokufa tayari.+ Mkaaji mgeni aliye ndani ya malango yako unaweza kumpa mwili huo, naye ataula; au mwili huo unaweza kuuziwa mgeni, kwa sababu wewe ni kikundi cha watu watakatifu kwa Yehova Mungu wako.

“Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+

22 “Lazima utatoa sehemu ya kumi ya mazao yako yote ya mbegu yako, yanayotoka shambani mwaka baada ya mwaka.+ 23 Na mbele za Yehova Mungu wako, katika mahali ambapo atachagua ili jina lake likae hapo, utakula sehemu ya kumi ya nafaka yako,+ divai yako mpya na mafuta yako na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yako na wa kundi lako;+ ili ujifunze kumwogopa Yehova Mungu wako sikuzote.+

24 “Sasa ikiwa safari itakuwa ndefu mno kwako,+ kwa sababu hutaweza kuichukua, kwa kuwa mahali ambapo Yehova Mungu wako atachagua kuweka jina lake+ patakuwa mbali mno nawe, (kwa sababu Yehova Mungu wako atakubariki,)+ 25 basi utaigeuza kuwa pesa, nawe utafunga pesa hizo katika mkono wako na kusafiri mpaka mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua. 26 Nawe utatoa pesa hizo kwa ajili ya chochote ambacho nafsi yako itatamani+ kati ya ng’ombe na kondoo na mbuzi na divai na kileo+ na kitu chochote ambacho huenda nafsi yako ikakuomba; nawe utakula huko mbele za Yehova Mungu wako na kushangilia,+ wewe na nyumba yako. 27 Na Mlawi aliye ndani ya malango yako, hutamwacha,+ kwa maana yeye hana fungu wala urithi pamoja nawe.+

28 “Mwishoni mwa miaka mitatu utatoa sehemu yote ya kumi ya mazao yako ya mwaka huo,+ nawe utaiweka ndani ya malango yako. 29 Naye Mlawi,+ kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mkaaji mgeni+ na mvulana asiye na baba na mjane,+ walio ndani ya malango yako, watakuja, nao watakula na kujishibisha; ili Yehova Mungu wako apate kukubariki+ katika kila tendo+ la mkono wako ambalo utafanya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki