Kumbukumbu la Torati 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki. Kumbukumbu la Torati 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nawe utashangilia+ mema yote ambayo Yehova Mungu wako amekupa wewe na nyumba yako, wewe na Mlawi na mkaaji mgeni aliye katikati yako.+ Zaburi 100:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtumikieni Yehova kwa kushangilia.+Njooni mbele zake kwa vigelegele vya shangwe.+
7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki.
11 Nawe utashangilia+ mema yote ambayo Yehova Mungu wako amekupa wewe na nyumba yako, wewe na Mlawi na mkaaji mgeni aliye katikati yako.+