Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 12:1

Marejeo

  • +Law 26:46; Kum 4:5
  • +Law 19:37; 25:18
  • +Kum 4:40; 6:1; Yak 1:22
  • +Kum 4:10; 1Fa 8:40

Kumbukumbu la Torati 12:2

Marejeo

  • +Kut 34:13
  • +Eze 20:28

Kumbukumbu la Torati 12:3

Marejeo

  • +Amu 2:2; 6:25
  • +Kut 23:24; 2Fa 18:4
  • +Kut 34:13; 1Fa 15:13; 2Fa 23:14; 2Nya 14:3
  • +Hes 33:52; Kum 7:5, 25
  • +Kut 23:13; Yos 23:7

Kumbukumbu la Torati 12:4

Marejeo

  • +Law 18:3; Kum 12:31; 2Fa 17:15

Kumbukumbu la Torati 12:5

Marejeo

  • +Kum 26:2; 2Nya 7:12

Kumbukumbu la Torati 12:6

Marejeo

  • +Law 1:3
  • +Kum 12:17; 14:22
  • +Hes 18:19; Kum 12:11
  • +Law 7:16; 22:18
  • +Law 23:38; 1Nya 29:9; Ezr 2:68
  • +Kum 12:17; 15:19

Kumbukumbu la Torati 12:7

Marejeo

  • +Kum 14:23; 15:20
  • +Law 23:40; Kum 12:12, 18; 14:26; Zb 32:11; 100:2; Flp 4:4

Kumbukumbu la Torati 12:8

Marejeo

  • +Hes 15:39; Amu 17:6; Met 21:2

Kumbukumbu la Torati 12:9

Marejeo

  • +1Fa 8:56; 1Nya 23:25; Ebr 4:8

Kumbukumbu la Torati 12:10

Marejeo

  • +Yos 3:17
  • +Kum 4:22; 9:1
  • +Kum 33:28; 1Fa 4:25; Zb 4:8; Met 1:33

Kumbukumbu la Torati 12:11

Marejeo

  • +Kum 12:6; 14:23; 16:2; 26:2
  • +Law 1:3
  • +Kum 14:22; 26:12
  • +Hes 18:19; Kum 12:6
  • +Law 7:16; 22:18

Kumbukumbu la Torati 12:12

Marejeo

  • +Kum 14:26; 1Fa 8:66; Ne 8:10; Flp 4:4
  • +Hes 18:24; Kum 10:9; 14:29; Yos 13:14

Kumbukumbu la Torati 12:13

Marejeo

  • +Law 17:4; 1Fa 12:28

Kumbukumbu la Torati 12:14

Marejeo

  • +2Nya 7:12

Kumbukumbu la Torati 12:15

Marejeo

  • +Kum 12:21; 14:26
  • +Law 5:2; 13:3
  • +Kum 14:5; 15:22

Kumbukumbu la Torati 12:16

Marejeo

  • +Mwa 9:4; Law 7:26; 17:10; Kum 15:23; 1Sa 14:33; Eze 33:25; Mdo 15:29
  • +Law 17:13; Kum 15:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 344

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2000, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 10/15 30-31

Kumbukumbu la Torati 12:17

Marejeo

  • +Kum 14:22
  • +Kum 12:6; 14:23
  • +Law 23:38
  • +Hes 18:11

Kumbukumbu la Torati 12:18

Marejeo

  • +Kum 12:11; 14:23
  • +Kum 12:7, 12; Flp 3:1

Kumbukumbu la Torati 12:19

Marejeo

  • +Hes 18:21; Kum 14:27; 2Nya 31:4; Ne 10:38; Mal 3:8

Kumbukumbu la Torati 12:20

Marejeo

  • +1Fa 4:21
  • +Mwa 15:18; Kut 34:24; Kum 11:24
  • +Law 11:2; Kum 14:4

Kumbukumbu la Torati 12:21

Marejeo

  • +Kum 14:23; 2Nya 7:12
  • +Kum 12:15

Kumbukumbu la Torati 12:22

Marejeo

  • +Kum 14:5; 15:22
  • +Law 15:3, 16

Kumbukumbu la Torati 12:23

Marejeo

  • +Law 3:17; Kum 12:16
  • +Mwa 9:4; Law 17:11, 14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1991, uku. 31

Kumbukumbu la Torati 12:24

Marejeo

  • +Law 17:13; Kum 15:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2000, kur. 30-31

    3/1/1989, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 10/15 30-31

Kumbukumbu la Torati 12:25

Marejeo

  • +Kum 4:40; Isa 3:10
  • +Kum 6:18; 13:18

Kumbukumbu la Torati 12:26

Marejeo

  • +Hes 5:9; 18:19
  • +Law 22:18
  • +Kum 12:11

Kumbukumbu la Torati 12:27

Marejeo

  • +Law 1:9
  • +Law 17:11
  • +Law 4:30

Kumbukumbu la Torati 12:28

Marejeo

  • +Zb 89:31; 105:45; 1Yo 5:3
  • +Gal 6:7
  • +Met 4:4

Kumbukumbu la Torati 12:29

Marejeo

  • +Kut 23:23; Kum 9:3; 19:1; Zb 44:2; 78:55
  • +Kum 6:10; Zb 105:44

Kumbukumbu la Torati 12:30

Marejeo

  • +Kum 7:16; Zb 106:36; Eze 20:28; Efe 4:17

Kumbukumbu la Torati 12:31

Marejeo

  • +Law 18:3; Kum 12:4
  • +Law 18:21; 20:2; Kum 18:10; 2Fa 17:15; Yer 32:35

Kumbukumbu la Torati 12:32

Marejeo

  • +Kum 5:1; Yos 22:5; Zb 119:4
  • +Kum 4:2; Yos 1:7; Met 30:6

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 12:1Law 26:46; Kum 4:5
Kum. 12:1Law 19:37; 25:18
Kum. 12:1Kum 4:40; 6:1; Yak 1:22
Kum. 12:1Kum 4:10; 1Fa 8:40
Kum. 12:2Kut 34:13
Kum. 12:2Eze 20:28
Kum. 12:3Amu 2:2; 6:25
Kum. 12:3Kut 23:24; 2Fa 18:4
Kum. 12:3Kut 34:13; 1Fa 15:13; 2Fa 23:14; 2Nya 14:3
Kum. 12:3Hes 33:52; Kum 7:5, 25
Kum. 12:3Kut 23:13; Yos 23:7
Kum. 12:4Law 18:3; Kum 12:31; 2Fa 17:15
Kum. 12:5Kum 26:2; 2Nya 7:12
Kum. 12:6Law 1:3
Kum. 12:6Kum 12:17; 14:22
Kum. 12:6Hes 18:19; Kum 12:11
Kum. 12:6Law 7:16; 22:18
Kum. 12:6Law 23:38; 1Nya 29:9; Ezr 2:68
Kum. 12:6Kum 12:17; 15:19
Kum. 12:7Kum 14:23; 15:20
Kum. 12:7Law 23:40; Kum 12:12, 18; 14:26; Zb 32:11; 100:2; Flp 4:4
Kum. 12:8Hes 15:39; Amu 17:6; Met 21:2
Kum. 12:91Fa 8:56; 1Nya 23:25; Ebr 4:8
Kum. 12:10Yos 3:17
Kum. 12:10Kum 4:22; 9:1
Kum. 12:10Kum 33:28; 1Fa 4:25; Zb 4:8; Met 1:33
Kum. 12:11Kum 12:6; 14:23; 16:2; 26:2
Kum. 12:11Law 1:3
Kum. 12:11Kum 14:22; 26:12
Kum. 12:11Hes 18:19; Kum 12:6
Kum. 12:11Law 7:16; 22:18
Kum. 12:12Kum 14:26; 1Fa 8:66; Ne 8:10; Flp 4:4
Kum. 12:12Hes 18:24; Kum 10:9; 14:29; Yos 13:14
Kum. 12:13Law 17:4; 1Fa 12:28
Kum. 12:142Nya 7:12
Kum. 12:15Kum 12:21; 14:26
Kum. 12:15Law 5:2; 13:3
Kum. 12:15Kum 14:5; 15:22
Kum. 12:16Mwa 9:4; Law 7:26; 17:10; Kum 15:23; 1Sa 14:33; Eze 33:25; Mdo 15:29
Kum. 12:16Law 17:13; Kum 15:23
Kum. 12:17Kum 14:22
Kum. 12:17Kum 12:6; 14:23
Kum. 12:17Law 23:38
Kum. 12:17Hes 18:11
Kum. 12:18Kum 12:11; 14:23
Kum. 12:18Kum 12:7, 12; Flp 3:1
Kum. 12:19Hes 18:21; Kum 14:27; 2Nya 31:4; Ne 10:38; Mal 3:8
Kum. 12:201Fa 4:21
Kum. 12:20Mwa 15:18; Kut 34:24; Kum 11:24
Kum. 12:20Law 11:2; Kum 14:4
Kum. 12:21Kum 14:23; 2Nya 7:12
Kum. 12:21Kum 12:15
Kum. 12:22Kum 14:5; 15:22
Kum. 12:22Law 15:3, 16
Kum. 12:23Law 3:17; Kum 12:16
Kum. 12:23Mwa 9:4; Law 17:11, 14
Kum. 12:24Law 17:13; Kum 15:23
Kum. 12:25Kum 4:40; Isa 3:10
Kum. 12:25Kum 6:18; 13:18
Kum. 12:26Hes 5:9; 18:19
Kum. 12:26Law 22:18
Kum. 12:26Kum 12:11
Kum. 12:27Law 1:9
Kum. 12:27Law 17:11
Kum. 12:27Law 4:30
Kum. 12:28Zb 89:31; 105:45; 1Yo 5:3
Kum. 12:28Gal 6:7
Kum. 12:28Met 4:4
Kum. 12:29Kut 23:23; Kum 9:3; 19:1; Zb 44:2; 78:55
Kum. 12:29Kum 6:10; Zb 105:44
Kum. 12:30Kum 7:16; Zb 106:36; Eze 20:28; Efe 4:17
Kum. 12:31Law 18:3; Kum 12:4
Kum. 12:31Law 18:21; 20:2; Kum 18:10; 2Fa 17:15; Yer 32:35
Kum. 12:32Kum 5:1; Yos 22:5; Zb 119:4
Kum. 12:32Kum 4:2; Yos 1:7; Met 30:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 12:1-32

Kumbukumbu la Torati

12 “Haya ndiyo masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo mnapaswa kuwa waangalifu kuyatimiza+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wa mababu zenu atawaruhusu kuimiliki, siku zote mtakazokuwa hai kwenye nchi hiyo.+ 2 Mnapaswa kuangamiza kabisa+ mahali pote ambapo mataifa mnayoyafukuza yameitumikia miungu yao, juu ya milima mirefu na vilima na chini ya kila mti wenye majani mengi.+ 3 Nanyi mtabomoa madhabahu+ zao na kuvunja-vunja nguzo zao takatifu,+ nanyi mtaiteketeza miti yao mitakatifu+ katika moto na kukata sanamu za kuchongwa+ za miungu yao, nanyi mtayaharibu majina yao kutoka mahali hapo.+

4 “Msimfanyie hivyo Yehova Mungu wenu,+ 5 lakini mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua kutoka katika makabila yenu yote ili kuliweka jina lake hapo, kulifanya likae, hapo ndipo mtapatafuta, nanyi mje hapo.+ 6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+ 7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki.

8 “Msifanye kulingana na mambo yote ambayo tunafanya hapa leo, kila mmoja lolote linaloonekana kuwa sawa machoni pake mwenyewe,+ 9 kwa sababu bado hamjaingia katika mahali pa kupumzika+ na urithi ambao Yehova Mungu wako anakupa wewe. 10 Nanyi mtavuka Yordani+ na kukaa katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa iwe miliki,+ naye atawapa pumziko kutokana na adui zenu wanaowazunguka, nanyi hakika mtakaa kwa usalama.+ 11 Na itatukia kwamba mahali+ ambapo Yehova Mungu wenu atachagua ili jina lake likae hapo ndipo mtakapoleta vyote ambavyo ninawaamuru leo, matoleo yenu ya kuteketezwa+ na dhabihu zenu, na sehemu zenu za kumi+ na mchango+ wa mkono wenu na kila kilicho bora cha matoleo yenu ya nadhiri+ ambayo mtamwekea nadhiri Yehova. 12 Nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu,+ ninyi na wana wenu na binti zenu na watumishi wenu na vijakazi wenu na Mlawi aliye ndani ya malango yenu, kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+ 13 Jiangalie usije ukatoa matoleo yako ya kuteketezwa katika mahali pengine popote utakapoona.+ 14 Bali katika mahali ambapo Yehova atachagua katika moja la makabila yako ndipo utakapotoa matoleo yako ya kuteketezwa, na hapo ndipo utakapofanya yote ninayokuamuru wewe.+

15 “Ila wakati wowote ambapo nafsi yako inatamani, unaweza kuchinja,+ nawe utakula nyama kulingana na baraka ya Yehova Mungu wako ambayo amekupa wewe, ndani ya malango yako yote. Asiye safi+ pamoja na aliye safi wataweza kula, kama swala na kama paa.+ 16 Ila tu damu msile.+ Utaimwaga kwenye udongo kama maji.+ 17 Hutaruhusiwa kula ndani ya malango yako sehemu ya kumi ya nafaka+ yako au ya divai yako mpya au ya mafuta yako au mzaliwa wa kwanza wa mifugo+ yako na wa kundi lako au yoyote ya matoleo yako ya nadhiri utakayoweka nadhiri au matoleo yako ya hiari+ au mchango wa mkono wako.+ 18 Lakini mbele za Yehova Mungu wako utaila, katika mahali ambapo Yehova Mungu wako atachagua,+ wewe na mwana wako na binti yako na mtumishi wako na kijakazi wako na Mlawi aliye ndani ya malango yako; nawe utashangilia+ mbele za Yehova Mungu wako katika kazi zako zote. 19 Jiangalie usije ukamwacha Mlawi+ siku zako zote kwenye nchi yako.

20 “Wakati ambapo Yehova Mungu wako atalipanua eneo lako,+ kama vile ambavyo amekuahidi,+ nawe hakika utasema, ‘Acha nile nyama,’ kwa sababu nafsi yako inatamani kula nyama, wakati wowote ambapo nafsi yako inatamani unaweza kula nyama.+ 21 Ikiwa mahali ambapo Yehova Mungu wako atachagua kuweka jina lake+ hapo patakuwa mbali nawe, basi utachinja sehemu ya mifugo yako au sehemu ya kundi lako ambalo Yehova amekupa wewe, kama vile ambavyo nimekuamuru wewe, nawe utakula ndani ya malango yako wakati wowote ambapo nafsi yako inaitamani.+ 22 Kama vile tu swala na paa huliwa, ndivyo utakavyoila:+ asiye safi+ na aliye safi pamoja unaweza kuila. 23 Ila tu uazimie kwa uthabiti usile damu,+ kwa sababu damu ndiyo nafsi+ nawe usile nafsi pamoja na nyama. 24 Usiile. Uimwage kwenye udongo kama maji.+ 25 Usiile, ili mambo yakuendee vema+ wewe na wana wako baada yako, kwa sababu utafanya yaliyo sawa machoni pa Yehova.+ 26 Vitu vyako vitakatifu+ tu ndivyo vitakavyokuwa vyako, na matoleo yako ya nadhiri+ utayachukua, nawe utakuja mahali ambapo Yehova atachagua.+ 27 Nawe utatoa matoleo yako ya kuteketezwa,+ nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wako; na damu ya dhabihu zako itamiminwa juu ya madhabahu ya Yehova+ Mungu wako, bali nyama unaweza kula.

28 “Uwe mwangalifu, nawe utii maneno yote haya ambayo ninakuamuru wewe,+ ili mambo yakuendee vema+ wewe na wana wako baada yako mpaka wakati usio na kipimo, kwa sababu utafanya yaliyo mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+

29 “Yehova Mungu wako atakapoyakatilia mbali kutoka mbele yako mataifa ambayo unaenda kuyafukuza,+ utayafukuza na kukaa katika nchi yao.+ 30 Jiangalie usije ukanaswa na kuwafuata,+ baada ya wao kuangamizwa kutoka mbele yako, nawe usije ukauliza kuhusu miungu yao, na kusema, ‘Mataifa haya yalikuwa yakiitumikiaje miungu yao? Nami, naam, mimi nitafanya vivyo hivyo.’ 31 Usimfanyie hivyo Yehova Mungu wako,+ kwa maana kila kitu kinachochukiza kwa Yehova, ambacho anachukia wameifanyia miungu yao, kwa maana hata wana wao na binti zao wao huwateketeza motoni kwa ukawaida kwa ajili ya miungu yao.+ 32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki