10 siku ambayo ulisimama mbele za Yehova Mungu wako katika Horebu,+ wakati ambapo Yehova aliniambia, ‘Kutanisha watu pamoja kwangu ili niwafanye wasikie maneno yangu,+ ili wapate kujifunza kuniogopa+ mimi siku zote walizo hai juu ya nchi na ili wawafundishe wana wao.’+