Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 4:1

Marejeo

  • +Law 18:5; Eze 20:11; Ro 10:5

Kumbukumbu la Torati 4:2

Marejeo

  • +Kum 12:32; Yos 1:7; Met 30:6; Ufu 22:18

Kumbukumbu la Torati 4:3

Marejeo

  • +Hes 25:3; Yos 22:17; Zb 106:28; Ho. 9:10; 1Ko 10:7
  • +Hes 25:5, 9; 1Ko 10:8

Kumbukumbu la Torati 4:4

Marejeo

  • +Kum 10:20; 13:4; Yos 22:5

Kumbukumbu la Torati 4:5

Marejeo

  • +Law 10:11; 26:46; Hes 30:16
  • +Law 25:18; Hes 36:13; Kum 6:1

Kumbukumbu la Torati 4:6

Marejeo

  • +1Fa 2:3; Zb 19:7; 107:43; 111:10; 119:98; Met 10:8; Yer 8:9
  • +Zb 119:100; Met 4:7
  • +1Fa 4:34; 10:7; Da 1:20

Kumbukumbu la Torati 4:7

Marejeo

  • +2Sa 7:23
  • +Kut 25:8; Law 26:12; Kum 5:26; Zb 46:1; 145:18

Kumbukumbu la Torati 4:8

Marejeo

  • +Zb 78:5; 147:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2002, kur. 14-15

    7/1/1992, kur. 11-12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 6/1 14-15

Kumbukumbu la Torati 4:9

Marejeo

  • +Met 4:23; 19:16
  • +Met 4:21
  • +Met 3:1; 7:1; Ebr 2:1
  • +Mwa 18:19; Kum 6:7; Zb 78:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2006, kur. 29-30

    Shule ya Huduma, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 6/1 29-30; be 20

Kumbukumbu la Torati 4:10

Marejeo

  • +Kum 5:2
  • +Kut 19:9; Ebr 12:25
  • +Kut 20:20; Kum 5:29; 1Sa 12:24; Lu 1:50
  • +Met 22:6; Efe 6:4

Kumbukumbu la Torati 4:11

Marejeo

  • +Kut 19:18; Kum 5:23; Ebr 12:18

Kumbukumbu la Torati 4:12

Marejeo

  • +Kum 9:10; 10:4
  • +Kum 4:15; Isa 40:18; Yoh 1:18; 4:24
  • +Kut 20:22; Ebr 12:19

Kumbukumbu la Torati 4:13

Marejeo

  • +Kut 19:5; Kum 5:2; 9:9; Ebr 9:20
  • +Kut 20:1; 34:28; Kum 10:4
  • +Kut 24:12; 31:18; 32:19; 34:1

Kumbukumbu la Torati 4:14

Marejeo

  • +Zb 105:44

Kumbukumbu la Torati 4:15

Marejeo

  • +Kum 6:24; Yos 23:11
  • +Kum 4:12

Kumbukumbu la Torati 4:16

Marejeo

  • +Kut 32:7
  • +Kut 20:4; Kum 27:15; Isa 40:18; Mdo 17:29; 1Ko 10:14

Kumbukumbu la Torati 4:17

Marejeo

  • +Ro 1:23
  • +Kum 5:8

Kumbukumbu la Torati 4:18

Marejeo

  • +1Sa 5:4

Kumbukumbu la Torati 4:19

Marejeo

  • +Kum 17:3; 2Fa 17:16; Yer 8:2; Eze 8:16; Sef 1:5; Mdo 7:43
  • +Zb 136:7; Yer 31:35

Kumbukumbu la Torati 4:20

Marejeo

  • +1Fa 8:51; Yer 11:4
  • +Kut 19:5; Kum 9:26; 1Fa 8:53; Zb 135:4

Kumbukumbu la Torati 4:21

Marejeo

  • +Hes 20:12; Kum 3:26
  • +Kum 31:2; Zb 106:32

Kumbukumbu la Torati 4:22

Marejeo

  • +Kum 3:27

Kumbukumbu la Torati 4:23

Marejeo

  • +Kut 19:5; 24:3
  • +Kut 20:4; Kum 4:16; 1Ko 10:14

Kumbukumbu la Torati 4:24

Marejeo

  • +Kut 24:17; Kum 9:3; Ebr 12:29
  • +Kut 20:5; 34:14; Hes 25:11; Yos 24:19; Nah 1:2; Lu 10:27

Kumbukumbu la Torati 4:25

Marejeo

  • +Kut 32:7; Kum 4:16
  • +Amu 18:30; 2Fa 17:16; 21:7; Isa 42:8
  • +2Fa 17:17

Kumbukumbu la Torati 4:26

Marejeo

  • +Kum 30:19; 31:28; Isa 1:2
  • +Law 18:28; 26:32; Kum 29:28; Yos 23:16; Isa 24:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Kumbukumbu la Torati 4:27

Marejeo

  • +Kum 28:64; Ne 1:8; Eze 12:15
  • +Kum 28:62

Kumbukumbu la Torati 4:28

Marejeo

  • +Yer 16:13; Eze 20:39
  • +Kum 28:36; Eze 20:32
  • +Zb 115:5; 135:16; Isa 44:9; Ufu 9:20

Kumbukumbu la Torati 4:29

Marejeo

  • +Kum 30:10; 2Nya 15:4, 15
  • +Kum 30:2; 1Fa 8:48; Yer 29:13; Yoe 2:12

Kumbukumbu la Torati 4:30

Marejeo

  • +Kum 30:10; 2Nya 33:13; Ne 1:9
  • +Yer 7:23

Kumbukumbu la Torati 4:31

Marejeo

  • +Kut 34:6; Kum 30:3; 2Nya 30:9; Ne 9:31; Zb 86:15; Isa 54:7; 55:7; 2Ko 1:3
  • +Law 26:42; Zb 105:8; Lu 1:72

Kumbukumbu la Torati 4:32

Marejeo

  • +Zb 44:1
  • +Mwa 2:7
  • +Kut 15:11

Kumbukumbu la Torati 4:33

Marejeo

  • +Kum 5:26

Kumbukumbu la Torati 4:34

Marejeo

  • +Kum 7:19
  • +Kut 7:3
  • +Zb 105:27
  • +Kut 15:3
  • +Kut 13:3; Kum 6:21
  • +Kut 6:6
  • +Kum 26:8; Zb 78:49; Yer 32:21

Kumbukumbu la Torati 4:35

Marejeo

  • +Kut 3:14; 6:7; 1Fa 18:37; 2Fa 19:19; Zb 83:18
  • +Kut 15:11; Kum 32:39; 1Sa 2:2; Isa 45:18; Mk 12:32

Kumbukumbu la Torati 4:36

Marejeo

  • +Kut 19:18; 20:22; Kum 4:12, 15, 33; Ne 9:13; Ebr 12:18, 25

Kumbukumbu la Torati 4:37

Marejeo

  • +Kum 10:15; Zb 105:6
  • +Kut 13:14; Yer 32:21

Kumbukumbu la Torati 4:38

Marejeo

  • +Kut 23:28; Kum 7:1; 9:1; Yos 3:10; Zb 44:2

Kumbukumbu la Torati 4:39

Marejeo

  • +Yos 2:11; 2Nya 20:6; Zb 135:6; Da 4:35
  • +Kum 4:35; Isa 44:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 4

Kumbukumbu la Torati 4:40

Marejeo

  • +Kum 4:5
  • +Kum 5:16
  • +Mwa 48:4

Kumbukumbu la Torati 4:41

Marejeo

  • +Hes 35:14

Kumbukumbu la Torati 4:42

Marejeo

  • +Hes 35:11, 22
  • +Kum 19:4
  • +Hes 35:25

Kumbukumbu la Torati 4:43

Marejeo

  • +Yos 21:36
  • +Yos 21:38
  • +Yos 21:27
  • +Yos 20:8

Kumbukumbu la Torati 4:44

Marejeo

  • +Kum 17:18; 27:3; Mal 4:4; Yoh 1:17; Gal 3:24

Kumbukumbu la Torati 4:45

Marejeo

  • +Kum 6:17; 1Fa 2:3
  • +Law 26:46; Kum 4:1
  • +Law 18:5; Kum 4:5; Ne 9:13; Zb 119:164; Eze 20:11

Kumbukumbu la Torati 4:46

Marejeo

  • +Kum 1:5; 3:29
  • +Hes 21:26
  • +Hes 21:24

Kumbukumbu la Torati 4:47

Marejeo

  • +Hes 21:33; Kum 3:4; 29:7

Kumbukumbu la Torati 4:48

Marejeo

  • +Kum 2:36; 3:12
  • +Kum 3:9; Yos 11:3

Kumbukumbu la Torati 4:49

Marejeo

  • +Kum 1:7; Yos 12:3
  • +Mwa 14:3; Kum 3:17
  • +Kum 34:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 4:1Law 18:5; Eze 20:11; Ro 10:5
Kum. 4:2Kum 12:32; Yos 1:7; Met 30:6; Ufu 22:18
Kum. 4:3Hes 25:3; Yos 22:17; Zb 106:28; Ho. 9:10; 1Ko 10:7
Kum. 4:3Hes 25:5, 9; 1Ko 10:8
Kum. 4:4Kum 10:20; 13:4; Yos 22:5
Kum. 4:5Law 10:11; 26:46; Hes 30:16
Kum. 4:5Law 25:18; Hes 36:13; Kum 6:1
Kum. 4:61Fa 2:3; Zb 19:7; 107:43; 111:10; 119:98; Met 10:8; Yer 8:9
Kum. 4:6Zb 119:100; Met 4:7
Kum. 4:61Fa 4:34; 10:7; Da 1:20
Kum. 4:72Sa 7:23
Kum. 4:7Kut 25:8; Law 26:12; Kum 5:26; Zb 46:1; 145:18
Kum. 4:8Zb 78:5; 147:19
Kum. 4:9Met 4:23; 19:16
Kum. 4:9Met 4:21
Kum. 4:9Met 3:1; 7:1; Ebr 2:1
Kum. 4:9Mwa 18:19; Kum 6:7; Zb 78:5
Kum. 4:10Kum 5:2
Kum. 4:10Kut 19:9; Ebr 12:25
Kum. 4:10Kut 20:20; Kum 5:29; 1Sa 12:24; Lu 1:50
Kum. 4:10Met 22:6; Efe 6:4
Kum. 4:11Kut 19:18; Kum 5:23; Ebr 12:18
Kum. 4:12Kum 9:10; 10:4
Kum. 4:12Kum 4:15; Isa 40:18; Yoh 1:18; 4:24
Kum. 4:12Kut 20:22; Ebr 12:19
Kum. 4:13Kut 19:5; Kum 5:2; 9:9; Ebr 9:20
Kum. 4:13Kut 20:1; 34:28; Kum 10:4
Kum. 4:13Kut 24:12; 31:18; 32:19; 34:1
Kum. 4:14Zb 105:44
Kum. 4:15Kum 6:24; Yos 23:11
Kum. 4:15Kum 4:12
Kum. 4:16Kut 32:7
Kum. 4:16Kut 20:4; Kum 27:15; Isa 40:18; Mdo 17:29; 1Ko 10:14
Kum. 4:17Ro 1:23
Kum. 4:17Kum 5:8
Kum. 4:181Sa 5:4
Kum. 4:19Kum 17:3; 2Fa 17:16; Yer 8:2; Eze 8:16; Sef 1:5; Mdo 7:43
Kum. 4:19Zb 136:7; Yer 31:35
Kum. 4:201Fa 8:51; Yer 11:4
Kum. 4:20Kut 19:5; Kum 9:26; 1Fa 8:53; Zb 135:4
Kum. 4:21Hes 20:12; Kum 3:26
Kum. 4:21Kum 31:2; Zb 106:32
Kum. 4:22Kum 3:27
Kum. 4:23Kut 19:5; 24:3
Kum. 4:23Kut 20:4; Kum 4:16; 1Ko 10:14
Kum. 4:24Kut 24:17; Kum 9:3; Ebr 12:29
Kum. 4:24Kut 20:5; 34:14; Hes 25:11; Yos 24:19; Nah 1:2; Lu 10:27
Kum. 4:25Kut 32:7; Kum 4:16
Kum. 4:25Amu 18:30; 2Fa 17:16; 21:7; Isa 42:8
Kum. 4:252Fa 17:17
Kum. 4:26Kum 30:19; 31:28; Isa 1:2
Kum. 4:26Law 18:28; 26:32; Kum 29:28; Yos 23:16; Isa 24:1
Kum. 4:27Kum 28:64; Ne 1:8; Eze 12:15
Kum. 4:27Kum 28:62
Kum. 4:28Yer 16:13; Eze 20:39
Kum. 4:28Kum 28:36; Eze 20:32
Kum. 4:28Zb 115:5; 135:16; Isa 44:9; Ufu 9:20
Kum. 4:29Kum 30:10; 2Nya 15:4, 15
Kum. 4:29Kum 30:2; 1Fa 8:48; Yer 29:13; Yoe 2:12
Kum. 4:30Kum 30:10; 2Nya 33:13; Ne 1:9
Kum. 4:30Yer 7:23
Kum. 4:31Kut 34:6; Kum 30:3; 2Nya 30:9; Ne 9:31; Zb 86:15; Isa 54:7; 55:7; 2Ko 1:3
Kum. 4:31Law 26:42; Zb 105:8; Lu 1:72
Kum. 4:32Zb 44:1
Kum. 4:32Mwa 2:7
Kum. 4:32Kut 15:11
Kum. 4:33Kum 5:26
Kum. 4:34Kum 7:19
Kum. 4:34Kut 7:3
Kum. 4:34Zb 105:27
Kum. 4:34Kut 15:3
Kum. 4:34Kut 13:3; Kum 6:21
Kum. 4:34Kut 6:6
Kum. 4:34Kum 26:8; Zb 78:49; Yer 32:21
Kum. 4:35Kut 3:14; 6:7; 1Fa 18:37; 2Fa 19:19; Zb 83:18
Kum. 4:35Kut 15:11; Kum 32:39; 1Sa 2:2; Isa 45:18; Mk 12:32
Kum. 4:36Kut 19:18; 20:22; Kum 4:12, 15, 33; Ne 9:13; Ebr 12:18, 25
Kum. 4:37Kum 10:15; Zb 105:6
Kum. 4:37Kut 13:14; Yer 32:21
Kum. 4:38Kut 23:28; Kum 7:1; 9:1; Yos 3:10; Zb 44:2
Kum. 4:39Yos 2:11; 2Nya 20:6; Zb 135:6; Da 4:35
Kum. 4:39Kum 4:35; Isa 44:6
Kum. 4:40Kum 4:5
Kum. 4:40Kum 5:16
Kum. 4:40Mwa 48:4
Kum. 4:41Hes 35:14
Kum. 4:42Hes 35:11, 22
Kum. 4:42Kum 19:4
Kum. 4:42Hes 35:25
Kum. 4:43Yos 21:36
Kum. 4:43Yos 21:38
Kum. 4:43Yos 21:27
Kum. 4:43Yos 20:8
Kum. 4:44Kum 17:18; 27:3; Mal 4:4; Yoh 1:17; Gal 3:24
Kum. 4:45Kum 6:17; 1Fa 2:3
Kum. 4:45Law 26:46; Kum 4:1
Kum. 4:45Law 18:5; Kum 4:5; Ne 9:13; Zb 119:164; Eze 20:11
Kum. 4:46Kum 1:5; 3:29
Kum. 4:46Hes 21:26
Kum. 4:46Hes 21:24
Kum. 4:47Hes 21:33; Kum 3:4; 29:7
Kum. 4:48Kum 2:36; 3:12
Kum. 4:48Kum 3:9; Yos 11:3
Kum. 4:49Kum 1:7; Yos 12:3
Kum. 4:49Mwa 14:3; Kum 3:17
Kum. 4:49Kum 34:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 4:1-49

Kumbukumbu la Torati

4 “Na sasa, Ee Israeli, sikilizeni masharti na maamuzi ya hukumu ninayowafundisha ninyi kufanya, ili mpate kuishi+ na kwa kweli mpate kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yehova Mungu wa mababu zenu anawapa ninyi. 2 Nanyi msiongeze kwenye neno ninalowaamuru ninyi, wala msiondoe lolote kutoka katika hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi.

3 “Macho yenu wenyewe ndiyo yaliyoona mambo ambayo Yehova alifanya katika kile kisa cha Baali wa Peori,+ kwamba kila mtu aliyemfuata Baali wa Peori ndiye ambaye Yehova Mungu wako aliangamiza kutoka katikati yako.+ 4 Lakini ninyi mnaoshikamana+ na Yehova Mungu wenu, nyote mko hai leo. 5 Tazama! nimewafundisha masharti+ na maamuzi ya hukumu,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wangu ameniamuru mimi, ili ninyi mfanye hivyo katikati ya nchi ambayo mnaenda kuimiliki. 6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+ 7 Kwa maana ni taifa+ gani kubwa ambalo lina miungu iliyo karibu nalo kama Yehova Mungu wetu alivyo tunapomwitia nyakati zote?+ 8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+

9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+ 10 siku ambayo ulisimama mbele za Yehova Mungu wako katika Horebu,+ wakati ambapo Yehova aliniambia, ‘Kutanisha watu pamoja kwangu ili niwafanye wasikie maneno yangu,+ ili wapate kujifunza kuniogopa+ mimi siku zote walizo hai juu ya nchi na ili wawafundishe wana wao.’+

11 “Kwa hiyo mkaja karibu na kusimama chini ya mlima, nao mlima ulikuwa ukiwaka moto mpaka katikati ya mbingu; kulikuwa na giza, wingu na weusi mzito.+ 12 Naye Yehova akaanza kusema nanyi kutoka katikati ya moto.+ Sauti ya maneno ndiyo mliyokuwa mkiisikia, bali hamkuwa mkiona umbo+ lolote—mlisikia sauti tu.+ 13 Naye akawajulisha ninyi agano+ lake, alilowaamuru mtende—yale Maneno Kumi,+ kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe.+ 14 Na Yehova aliniamuru mimi wakati huo niwafundishe masharti na maamuzi ya hukumu, ili ninyi myatende katika nchi ambayo mnavuka ili kuimiliki.+

15 “Nanyi mjiangalie vema nafsi zenu,+ kwa sababu hamkuona umbo+ lolote katika siku ambayo Yehova alisema nanyi katika Horebu kutoka katikati ya moto, 16 ili msitende kwa uharibifu+ wala msijifanyie wenyewe sanamu ya kuchongwa, umbo la mfano wowote, mfano wa mwanamume au mwanamke,+ 17 mfano wa mnyama yeyote aliye duniani,+ mfano wa ndege yeyote mwenye mabawa ambaye huruka mbinguni,+ 18 mfano wa kitu chochote kinachotembea kwenye nchi, mfano wa samaki+ yeyote aliye katika maji chini ya dunia; 19 wala usije ukayainua macho yako mbinguni na kuona jua na mwezi na nyota, jeshi lote la mbinguni, nawe upate kushawishiwa na kuviinamia na kuvitumikia,+ vile ambavyo Yehova Mungu wako amegawia vikundi vyote vya watu chini ya mbingu nzima.+ 20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii.

21 “Na Yehova akaniwakia hasira kwa sababu yenu,+ hivi kwamba akaapa kwamba sitavuka Yordani wala kuingia katika ile nchi nzuri ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi wako.+ 22 Kwa maana ninakufa katika nchi hii.+ Sivuki Yordani, lakini ninyi mnavuka, nanyi mtaimiliki nchi hiyo nzuri. 23 Jiangalieni msije mkasahau agano la Yehova Mungu wenu ambalo alifanya pamoja nanyi+ na msijifanyie sanamu ya kuchongwa, umbo la kitu chochote ambacho juu yake Yehova Mungu wako amekuamuru.+ 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+

25 “Ikiwa utakuwa baba ya wana na wajukuu nanyi mmekaa muda mrefu katika nchi na kutenda kwa uharibifu+ na kufanya sanamu ya kuchongwa,+ umbo la kitu chochote, na kufanya uovu machoni pa Yehova Mungu+ wako na kumtia uchungu, 26 leo nachukua mbingu na dunia ili ziwe mashahidi dhidi yenu,+ ya kwamba hakika mtaangamia haraka kutoka katika nchi ambayo mnavuka Yordani ili mwimiliki. Hamtarefusha siku zenu juu yake, kwa sababu hakika mtaangamizwa.+ 27 Na Yehova atawatawanya ninyi katikati ya watu,+ nanyi mtabaki hesabu chache+ katikati ya mataifa ambayo Yehova atayafukuzia mbali. 28 Na huko mtalazimika kuitumikia miungu mingine,+ kazi ya mikono ya mwanadamu, miti na mawe,+ ambayo haiwezi kuona wala kusikia wala kula wala kunusa.+

29 “Mkimtafuta Yehova Mungu wenu mkiwa huko, hakika mtampata pia,+ kwa sababu utauliza kumhusu kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote.+ 30 Utakapokuwa katika dhiki kali na maneno yote haya yawe yamekupata mwishoni mwa siku hizo, basi utarudi kwa Yehova Mungu+ wako na kuisikiliza sauti yake.+ 31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia.

32 “Sasa uliza, tafadhali, juu ya siku za zamani+ zilizokuwapo kabla yako, kutoka siku ambayo  Mungu alimuumba mwanadamu duniani+ na kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho mwingine wa mbingu, Je, jambo lolote kubwa kama hili lilitokezwa au jambo lolote kama hili lilisikiwa?+ 33 Je, kundi lingine lolote la watu limesikia sauti ya Mungu ikisema kutoka katikati ya moto jinsi ambavyo wewe mwenyewe umeisikia, nao wakaendelea kuishi?+ 34 Au je, Mungu alijaribu kuja kuchukua taifa kwa ajili yake mwenyewe kutoka kati ya taifa lingine kwa uthibitisho,+ kwa ishara+ na kwa miujiza+ na kwa vita+ na kwa mkono wenye nguvu+ na kwa mkono ulionyooshwa+ na kwa woga mkuu+ kama yote ambayo Yehova Mungu wenu amewafanyia ninyi katika Misri mbele ya macho yako? 35 Wewe—wewe umeonyeshwa, ili upate kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli;+ hakuna mwingine isipokuwa yeye.+ 36 Kutoka mbinguni alikufanya usikie sauti yake ili kukurekebisha; na duniani alikufanya uone moto wake mkuu, nayo maneno yake uliyasikia kutoka katikati ya moto huo.+

37 “Na hata hivyo unaendelea kuishi, kwa sababu aliwapenda mababu zako hivi kwamba akachagua uzao wao baada yao+ na kukuleta kutoka Misri mbele za macho yake kwa nguvu zake kuu,+ 38 ili kuyafukuzia mbali mataifa makubwa zaidi na yenye nguvu zaidi kuliko wewe kutoka mbele yako, ili akulete ndani, akupe nchi yao iwe urithi kama ilivyo leo hii.+ 39 Nawe unajua vema leo, nawe ukumbuke moyoni mwako kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli mbinguni juu na duniani chini.+ Hakuna mwingine.+ 40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”

41 Wakati huo Musa akatenga majiji matatu upande wa Yordani kuelekea mashariki,+ 42 ili akimbilie humo yule atakayemuua mwenzake bila kujua,+ ikiwa hakuwa akimchukia hapo kwanza;+ naye atakimbilia moja la majiji hayo naye ataishi,+ 43 yaani, Beseri+ katika nyika kwenye nchi tambarare ya juu kwa ajili ya Warubeni, na Ramothi+ katika Gileadi kwa ajili ya Wagadi, na Golani+ katika Bashani kwa ajili ya Wamanase.+

44 Sasa hii ndiyo sheria+ ambayo Musa aliweka mbele ya wana wa Israeli. 45 Huu ndio ushuhuda+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Musa aliwaambia wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri, 46 katika eneo la Yordani katika bonde mbele ya Beth-peori,+ katika nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni,+ ambaye Musa na wana wa Israeli walimshinda walipokuwa wakitoka Misri.+ 47 Nao wakaimiliki nchi yake na nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani, wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa katika eneo la Yordani kuelekea mashariki, 48 kutoka Aroeri,+ jiji lililoko ukingoni mwa bonde la mto la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+ 49 na Araba+ yote katika eneo la Yordani kuelekea mashariki, na mpaka bahari ya Araba+ chini ya miteremko ya Pisga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki