Methali 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwanangu, usiisahau sheria yangu,+ na moyo wako upate kushika amri zangu,+ Methali 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwanangu, shika maneno yangu,+ na uzitunze amri zangu kama hazina.+ Waebrania 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hiyo ndiyo sababu ni lazima kwetu kuyakazia uangalifu zaidi kuliko ilivyo kawaida mambo tuliyosikia,+ ili tusipeperushwe kamwe.+
2 Hiyo ndiyo sababu ni lazima kwetu kuyakazia uangalifu zaidi kuliko ilivyo kawaida mambo tuliyosikia,+ ili tusipeperushwe kamwe.+