Kumbukumbu la Torati 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Nanyi mtatia maneno haya yangu katika moyo wenu+ na nafsi yenu na kuyafunga kama ishara juu ya mkono wenu, nayo yatakuwa kama utepe wa kipaji katikati ya macho yenu.+ Methali 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wenye hekima ndio wanaoweka hazina ya ujuzi,+ lakini kinywa cha mpumbavu kinakaribia uharibifu wenyewe.+
18 “Nanyi mtatia maneno haya yangu katika moyo wenu+ na nafsi yenu na kuyafunga kama ishara juu ya mkono wenu, nayo yatakuwa kama utepe wa kipaji katikati ya macho yenu.+
14 Wenye hekima ndio wanaoweka hazina ya ujuzi,+ lakini kinywa cha mpumbavu kinakaribia uharibifu wenyewe.+