Methali 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mpe mtu mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima.+ Mpe ujuzi mtu mwadilifu naye atazidi kujifunza. Methali 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Moyo wa mtu mwenye uelewaji hujipatia ujuzi,+ nalo sikio la wenye hekima hutafuta kupata ujuzi.+ Mathayo 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+
9 Mpe mtu mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima.+ Mpe ujuzi mtu mwadilifu naye atazidi kujifunza.
35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+