Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+

  • Methali 15:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sikio linalosikiliza karipio+ la uzima hukaa kati ya watu wenye hekima.+

  • Methali 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kemeo huingia ndani zaidi katika mtu mwenye uelewaji+ kuliko kumpiga mjinga mara mia moja.+

  • Methali 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pete ya dhahabu na pambo la dhahabu ya pekee, ndivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwenye sikio linalosikia.+

  • Mathayo 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa naye atazidishiwa;+ lakini yeyote ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki