1 Samweli 25:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Busara yako na ibarikiwe,+ nawe ubarikiwe, ambaye umenizuia leo nisiingie katika hatia ya damu+ na kuacha mkono wangu mwenyewe uniokoe.+ Methali 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kwa mwongozo stadi utaendeleza vita vyako,+ na kwa wingi wa washauri kuna wokovu.+
33 Busara yako na ibarikiwe,+ nawe ubarikiwe, ambaye umenizuia leo nisiingie katika hatia ya damu+ na kuacha mkono wangu mwenyewe uniokoe.+