Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+ Methali 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mpe mtu mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima.+ Mpe ujuzi mtu mwadilifu naye atazidi kujifunza. Methali 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pete ya dhahabu na pambo la dhahabu ya pekee, ndivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwenye sikio linalosikia.+
5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+
9 Mpe mtu mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima.+ Mpe ujuzi mtu mwadilifu naye atazidi kujifunza.
12 Pete ya dhahabu na pambo la dhahabu ya pekee, ndivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwenye sikio linalosikia.+