Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Wewe mwenyewe ndiye yule mwanamume! Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi nilikutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli, nami nilikukomboa+ kutoka mkononi mwa Sauli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wakati huo Hanani+ mwonaji akamjia Asa mfalme wa Yuda, kisha akamwambia: “Kwa sababu ulimwegemea mfalme wa Siria+ wala hukumwegemea Yehova Mungu wako,+ kwa sababu hiyo jeshi la mfalme wa Siria limeponyoka kutoka mkononi mwako.

  • Methali 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kemeo huingia ndani zaidi katika mtu mwenye uelewaji+ kuliko kumpiga mjinga mara mia moja.+

  • Wagalatia 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Kefa+ alipokuja Antiokia,+ nilimpinga uso kwa uso, kwa sababu alistahili kuhukumiwa hatia.+

  • Wagalatia 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akina ndugu, hata mtu akijikwaa katika kosa+ fulani kabla ya yeye kulijua, ninyi mlio na sifa za kustahili kiroho+ jaribuni kumrekebisha upya mtu huyo katika roho ya upole,+ huku kila mmoja wenu akiendelea kujiangalia,+ ili wewe pia usije ukajaribiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki