2 “Sema na wana wa Israeli, uwaambie, ‘Ikiwa nafsi itatenda dhambi+ bila kukusudia+ katika yoyote kati ya mambo ambayo Yehova ameamuru yasifanywe, na kwa kweli afanye moja kati ya mambo hayo:
11 Kwa hiyo nauliza, Je, walijikwaa hivi kwamba wakaanguka+ kabisa? Hilo lisitendeke kamwe! Lakini kwa kujikwaa+ kwao kuna wokovu kwa watu wa mataifa,+ kuwachochea wao kuwa na wivu.+