Mambo ya Walawi 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye. Methali 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Jitetee kwa mwenzako,+ wala usifunue mazungumzo ya siri ya mwingine;+ Luka 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jiangalieni ninyi wenyewe. Ndugu yako akitenda dhambi mkemee,+ na akitubu msamehe.+
17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye.