Methali 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu anayetembea huku na huku akiwa mchongezi+ anafunua mazungumzo ya siri,+ lakini mtu mwaminifu katika roho anafunika jambo.+ Methali 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anayezunguka-zunguka akiwa mchongezi anafunua mazungumzo ya siri;+ wala usishirikiane na mtu anayeshawishiwa na midomo yake.+
13 Mtu anayetembea huku na huku akiwa mchongezi+ anafunua mazungumzo ya siri,+ lakini mtu mwaminifu katika roho anafunika jambo.+
19 Anayezunguka-zunguka akiwa mchongezi anafunua mazungumzo ya siri;+ wala usishirikiane na mtu anayeshawishiwa na midomo yake.+