Methali 16:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu wa jeuri atamshawishi mwenzake,+ naye hakika humfanya aende katika njia isiyo njema.+ Waroma 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.
18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.