Wakolosai 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninasema jambo hili ili mtu yeyote asiwadanganye ninyi kwa hoja zenye kushawishi.+ Tito 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kuna watu wengi watundu, wanaoongea maneno yasiyo na faida,+ na wanaodanganya akili za watu, hasa watu wale ambao hushikamana na tohara.+
10 Kwa maana kuna watu wengi watundu, wanaoongea maneno yasiyo na faida,+ na wanaodanganya akili za watu, hasa watu wale ambao hushikamana na tohara.+