Waroma 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama. 1 Timotheo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa kugeuka na kutoka katika mambo hayo watu fulani wamegeuzwa kando+ kuingia katika maneno ya kipuuzi,+
18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.
6 Kwa kugeuka na kutoka katika mambo hayo watu fulani wamegeuzwa kando+ kuingia katika maneno ya kipuuzi,+