1 Samweli 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo Sauli akamwambia Mikali: “Kwa nini ulinidanganya+ hivi, hata ukamwacha adui yangu+ aende zake, aponyoke?” Naye Mikali akamwambia Sauli: “Yeye mwenyewe aliniambia, ‘Niache niende! Kwa nini nikuue?’” Nehemia 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa sababu hii alikuwa amelipwa+ ili niogope+ na kufanya hivyo, nami nitende dhambi,+ ili wawe na nafasi ya kueneza sifa mbaya juu yangu,+ wapate kunishutumu.+
17 Kwa hiyo Sauli akamwambia Mikali: “Kwa nini ulinidanganya+ hivi, hata ukamwacha adui yangu+ aende zake, aponyoke?” Naye Mikali akamwambia Sauli: “Yeye mwenyewe aliniambia, ‘Niache niende! Kwa nini nikuue?’”
13 Kwa sababu hii alikuwa amelipwa+ ili niogope+ na kufanya hivyo, nami nitende dhambi,+ ili wawe na nafasi ya kueneza sifa mbaya juu yangu,+ wapate kunishutumu.+