1 Samweli 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sauli akamuuliza Mikali: “Kwa nini ulinidanganya hivi na kumwacha adui yangu+ akimbie na kutoroka?” Mikali akamjibu Sauli: “Aliniambia, ‘Niache niende, nisije nikakuua!’”
17 Sauli akamuuliza Mikali: “Kwa nini ulinidanganya hivi na kumwacha adui yangu+ akimbie na kutoroka?” Mikali akamjibu Sauli: “Aliniambia, ‘Niache niende, nisije nikakuua!’”