Zaburi 36:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mguu wa majivuno usinijie;+Nao mkono wa watu waovu, usinifanye kuwa mtu wa kutanga-tanga.+ Mathayo 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Mafarisayo wakaondoka, wakaenda na kushauriana pamoja kusudi wamtege kwa maneno yake.+