Marko 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Halafu wakamtumia baadhi ya Mafarisayo na wafuasi wa chama cha Herode,+ kumnasa kwa maneno yake.+ Luka 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na, baada ya kumtazama sana, wakatuma watu waliokodiwa kwa siri wasingizie kwamba walikuwa waadilifu, ili wapate kumnasa+ katika maneno, ili wamkabidhi kwa serikali na kwa mamlaka ya gavana.+
20 Na, baada ya kumtazama sana, wakatuma watu waliokodiwa kwa siri wasingizie kwamba walikuwa waadilifu, ili wapate kumnasa+ katika maneno, ili wamkabidhi kwa serikali na kwa mamlaka ya gavana.+