Mathayo 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Mafarisayo wakaondoka, wakaenda na kushauriana pamoja kusudi wamtege kwa maneno yake.+ Marko 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Halafu wakamtumia baadhi ya Mafarisayo na wafuasi wa chama cha Herode,+ kumnasa kwa maneno yake.+