Methali 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anayezunguka-zunguka akiwa mchongezi anafunua mazungumzo ya siri;+ wala usishirikiane na mtu anayeshawishiwa na midomo yake.+ Methali 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Jitetee kwa mwenzako,+ wala usifunue mazungumzo ya siri ya mwingine;+ Methali 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Maneno ya mchongezi ni kama vitu vya kumezwa kwa pupa, vinavyoingia katika sehemu za ndani kabisa za tumbo.+
19 Anayezunguka-zunguka akiwa mchongezi anafunua mazungumzo ya siri;+ wala usishirikiane na mtu anayeshawishiwa na midomo yake.+
22 Maneno ya mchongezi ni kama vitu vya kumezwa kwa pupa, vinavyoingia katika sehemu za ndani kabisa za tumbo.+