Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

  • Methali 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu anayetembea huku na huku akiwa mchongezi+ anafunua mazungumzo ya siri,+ lakini mtu mwaminifu katika roho anafunika jambo.+

  • Methali 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Jitetee kwa mwenzako,+ wala usifunue mazungumzo ya siri ya mwingine;+

  • Methali 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Upepo wa kaskazini hutokeza mvua+ kana kwamba kwa uchungu wa kuzaa; nao ulimi unaofunua siri hutokeza uso ulioshutumiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki