Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova. Methali 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu anayetembea huku na huku akiwa mchongezi+ anafunua mazungumzo ya siri,+ lakini mtu mwaminifu katika roho anafunika jambo.+ Methali 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Jitetee kwa mwenzako,+ wala usifunue mazungumzo ya siri ya mwingine;+ Methali 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Upepo wa kaskazini hutokeza mvua+ kana kwamba kwa uchungu wa kuzaa; nao ulimi unaofunua siri hutokeza uso ulioshutumiwa.+
16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
13 Mtu anayetembea huku na huku akiwa mchongezi+ anafunua mazungumzo ya siri,+ lakini mtu mwaminifu katika roho anafunika jambo.+
23 Upepo wa kaskazini hutokeza mvua+ kana kwamba kwa uchungu wa kuzaa; nao ulimi unaofunua siri hutokeza uso ulioshutumiwa.+