Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+

  • 1 Wafalme 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo watu wawili, watu wasiofaa kitu, wakaingia, wakaketi mbele yake; kisha wale watu wasiofaa kitu wakaanza kutoa ushahidi juu yake, yaani, Nabothi, mbele ya watu, wakisema: “Nabothi amemlaani Mungu na mfalme!”+ Kisha wakamtoa nje hadi mipakani mwa jiji, wakampiga kwa mawe, akafa.+

  • Methali 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

  • Mathayo 26:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 lakini hawakupata wowote, ijapokuwa mashahidi wengi wa uwongo walijitokeza.+ Baadaye wawili wakajitokeza

  • Matendo 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo kwa siri wakashawishi watu kusema:+ “Tumemsikia akisema maneno ya makufuru+ juu ya Musa na Mungu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki