26 ‘ “Hakika niliona jana damu+ ya Nabothi na damu ya wanawe,”+ asema Yehova, “nami hakika nitakulipa+ wewe katika sehemu hii ya shamba,” asema Yehova.’ Basi sasa, mwinue; mtupe katika ile sehemu ya shamba kulingana na neno la Yehova.”+
4Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji.