Mwanzo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.+ Zaburi 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+ Zaburi 72:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ataikomboa nafsi yao kutoka katika ukandamizaji na katika jeuri,Nayo damu yao itakuwa na thamani machoni pake.+ Isaya 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana, tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake ili kulitoza hesabu kosa la mkaaji wa nchi juu yake,+ na nchi hakika itafunua umwagaji wake wa damu+ wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.”+
12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+
14 Ataikomboa nafsi yao kutoka katika ukandamizaji na katika jeuri,Nayo damu yao itakuwa na thamani machoni pake.+
21 Kwa maana, tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake ili kulitoza hesabu kosa la mkaaji wa nchi juu yake,+ na nchi hakika itafunua umwagaji wake wa damu+ wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.”+