Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.+

  • Zaburi 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+

      Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+

  • Ezekieli 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana damu yake imekuwa katikati yake kabisa.+ Aliiweka juu ya uso ulio wazi na wenye kung’aa, wa mwamba. Hakuimimina chini, ili kuifunika kwa mavumbi.+

  • Luka 11:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 ili damu ya manabii+ wote iliyomwagwa tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu ipate kudaiwa kutoka kwa kizazi+ hiki,

  • Ufunuo 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+

  • Ufunuo 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu+ ya manabii+ na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa juu ya dunia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki