Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu. Yeremia 51:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 “Babiloni hakuwa tu kisababishi cha kuanguka kwa waliouawa wa Israeli+ lakini pia kule Babiloni waliouawa wa dunia yote wameanguka.+
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.
49 “Babiloni hakuwa tu kisababishi cha kuanguka kwa waliouawa wa Israeli+ lakini pia kule Babiloni waliouawa wa dunia yote wameanguka.+