Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana waovu wataangamia,+

      Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;

      Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+

  • Hosea 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana mimi nitakuwa kama mwana-simba kwa Efraimu+ na kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni kwa nyumba ya Yuda. Mimi, mimi mwenyewe nitararua vipande-vipande nami nitaenda na kuchukulia mbali, na hapatakuwa na mkombozi.+

  • Mika 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Maana, tazama! Yehova anatoka mahali pake,+ naye atashuka na kukanyaga mahali pa juu pa dunia.+

  • Mathayo 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 kwa maana ndipo kutakapokuwa na dhiki kuu+ ya namna ambayo haijapata kutukia tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa,+ hapana, wala haitatukia tena.

  • 2 Wathesalonike 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+

  • 2 Petro 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini kwa neno hilohilo mbingu+ na dunia+ za sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto+ nazo zinahifadhiwa mpaka ile siku ya hukumu+ na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki