14 Kwa maana mimi nitakuwa kama mwana-simba kwa Efraimu+ na kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni kwa nyumba ya Yuda. Mimi, mimi mwenyewe nitararua vipande-vipande nami nitaenda na kuchukulia mbali, na hapatakuwa na mkombozi.+
7 Lakini kwa neno hilohilo mbingu+ na dunia+ za sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto+ nazo zinahifadhiwa mpaka ile siku ya hukumu+ na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+