Zaburi 92:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana, tazama! adui zako, Ee Yehova,+Kwa maana, tazama! adui zako mwenyewe wataangamia;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza watatenganishwa.+ Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+ 2 Petro 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini watu hawa, kama wanyama wasiofikiri waliozaliwa kiasili ili kukamatwa na kuangamizwa, katika mambo ambayo wao hawayajui na kuyatukana,+ watapatwa na maangamizi katika mwendo wao wenyewe wa maangamizi,
9 Kwa maana, tazama! adui zako, Ee Yehova,+Kwa maana, tazama! adui zako mwenyewe wataangamia;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza watatenganishwa.+
12 Lakini watu hawa, kama wanyama wasiofikiri waliozaliwa kiasili ili kukamatwa na kuangamizwa, katika mambo ambayo wao hawayajui na kuyatukana,+ watapatwa na maangamizi katika mwendo wao wenyewe wa maangamizi,