Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 92:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana, tazama! adui zako, Ee Yehova,+

      Kwa maana, tazama! adui zako mwenyewe wataangamia;+

      Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza watatenganishwa.+

  • Methali 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+

  • 2 Petro 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini watu hawa, kama wanyama wasiofikiri waliozaliwa kiasili ili kukamatwa na kuangamizwa, katika mambo ambayo wao hawayajui na kuyatukana,+ watapatwa na maangamizi katika mwendo wao wenyewe wa maangamizi,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki