Methali 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hukumu zimefanywa imara kwa ajili ya wenye dhihaka,+ na mapigo kwa ajili ya mgongo wa wajinga.+ Yuda 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini watu hawa wanatukana mambo yote ambayo kwa kweli hawayajui;+ lakini mambo yote ambayo wanayaelewa kiasili kama vile wanyama wasiofikiri,+ wanaendelea kujiharibu+ katika mambo hayo.
10 Lakini watu hawa wanatukana mambo yote ambayo kwa kweli hawayajui;+ lakini mambo yote ambayo wanayaelewa kiasili kama vile wanyama wasiofikiri,+ wanaendelea kujiharibu+ katika mambo hayo.