Methali 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+ Methali 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mjeledi ni wa farasi,+ lijamu+ ni ya punda, nayo fimbo ni ya mgongo wa watu wajinga.+
13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+