Zaburi 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+ Methali 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hukumu zimefanywa imara kwa ajili ya wenye dhihaka,+ na mapigo kwa ajili ya mgongo wa wajinga.+ Methali 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mjeledi ni wa farasi,+ lijamu+ ni ya punda, nayo fimbo ni ya mgongo wa watu wajinga.+ 1 Wakorintho 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mnataka nini? Je, nije kwenu nikiwa na fimbo,+ au kwa upendo na upole wa roho?+
9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+