Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 4:1

Marejeo

  • +Lu 1:2; 2Ko 5:20
  • +Lu 12:42; 1Ko 9:17; Kol 1:25; Tit 1:7
  • +Mt 13:11; Ro 16:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2012, uku. 11

    8/1/2000, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 12/15 11; w00 8/1 14-15

1 Wakorintho 4:2

Marejeo

  • +Mwa 24:2
  • +Mwa 39:9; Gal 3:9; Ebr 3:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2012, uku. 12

    12/1/1988, kur. 22-23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 12/15 12

1 Wakorintho 4:3

Marejeo

  • +Mt 10:17; 1Pe 4:6

1 Wakorintho 4:4

Marejeo

  • +Ayu 27:6; Mdo 23:1; 24:16
  • +Met 21:2; Ro 14:10; Ebr 4:13

1 Wakorintho 4:5

Marejeo

  • +Mt 7:1
  • +Mal 3:2; Mt 24:3; Ufu 1:10
  • +Met 10:9; Mt 10:26; Lu 8:17; 1Ti 5:24
  • +Lu 2:35; 1Th 2:4
  • +Yoh 5:44; Ro 2:29; 2Ko 10:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 515

1 Wakorintho 4:6

Marejeo

  • +1Ko 1:12; 3:22
  • +1Ko 1:31; 2Yo 9; 3Yo 9
  • +Ro 12:3
  • +2Ko 12:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2008, uku. 7

    11/1/1989, kur. 29-30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/15 7

1 Wakorintho 4:7

Marejeo

  • +Ro 12:6
  • +Yoh 3:27; Yak 1:17
  • +1Pe 4:10
  • +Gal 6:14

1 Wakorintho 4:8

Marejeo

  • +Ufu 3:17
  • +Ufu 20:4, 6
  • +2Ti 2:12; Ufu 3:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2008, uku. 22

    1/15/1994, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/15 22

1 Wakorintho 4:9

Marejeo

  • +1Ko 15:32
  • +Zb 44:22; Ro 8:36; 2Ko 6:9; Ufu 6:9
  • +Ebr 10:33
  • +Efe 6:12; 1Pe 1:12
  • +2Ko 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, uku. 24

    9/15/1990, uku. 24

    5/15/1988, uku. 27

    Huduma ya Ufalme,

    8/2001, uku. 1

    Amkeni!,

    6/8/2000, uku. 13

    8/8/1998, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 24; km 8/01 1; g00 6/8 13; g98 8/8 21

1 Wakorintho 4:10

Marejeo

  • +1Ko 3:18
  • +Mt 10:16
  • +2Ko 11:29
  • +1Ko 10:12
  • +Gal 2:6
  • +Yoh 8:49

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/1988, uku. 27

1 Wakorintho 4:11

Marejeo

  • +Flp 4:12
  • +2Ko 11:27
  • +Ro 8:35
  • +Mdo 14:19; 23:2; 2Ko 11:24
  • +Mt 8:20

1 Wakorintho 4:12

Marejeo

  • +1Th 2:9
  • +Mdo 18:3; 20:34; 2Th 3:8
  • +Zb 109:28; Ro 12:14; 1Pe 3:9
  • +Mt 5:44

1 Wakorintho 4:13

Marejeo

  • +1Pe 2:23
  • +Omb 3:45

1 Wakorintho 4:14

Marejeo

  • +2Ko 6:13

1 Wakorintho 4:15

Marejeo

  • +Gal 3:24
  • +3Yo 4
  • +Gal 4:19; 1Th 2:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1993, uku. 15

1 Wakorintho 4:16

Marejeo

  • +1Ko 11:1; Flp 3:17; 1Th 1:6

1 Wakorintho 4:17

Marejeo

  • +Mdo 19:22; Flp 2:19; 1Th 3:2
  • +2Ti 1:2
  • +Lu 6:40; 2Ti 1:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2017, uku. 31

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1987, uku. 14

1 Wakorintho 4:18

Marejeo

  • +1Ti 3:6

1 Wakorintho 4:19

Marejeo

  • +Mdo 18:21; Yak 4:15

1 Wakorintho 4:20

Marejeo

  • +1Ko 2:4; 1Th 1:5

1 Wakorintho 4:21

Marejeo

  • +2Ko 10:8; 13:10
  • +Gal 6:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 4:1Lu 1:2; 2Ko 5:20
1 Kor. 4:1Lu 12:42; 1Ko 9:17; Kol 1:25; Tit 1:7
1 Kor. 4:1Mt 13:11; Ro 16:25
1 Kor. 4:2Mwa 24:2
1 Kor. 4:2Mwa 39:9; Gal 3:9; Ebr 3:5
1 Kor. 4:3Mt 10:17; 1Pe 4:6
1 Kor. 4:4Ayu 27:6; Mdo 23:1; 24:16
1 Kor. 4:4Met 21:2; Ro 14:10; Ebr 4:13
1 Kor. 4:5Mt 7:1
1 Kor. 4:5Mal 3:2; Mt 24:3; Ufu 1:10
1 Kor. 4:5Met 10:9; Mt 10:26; Lu 8:17; 1Ti 5:24
1 Kor. 4:5Lu 2:35; 1Th 2:4
1 Kor. 4:5Yoh 5:44; Ro 2:29; 2Ko 10:18
1 Kor. 4:61Ko 1:12; 3:22
1 Kor. 4:61Ko 1:31; 2Yo 9; 3Yo 9
1 Kor. 4:6Ro 12:3
1 Kor. 4:62Ko 12:20
1 Kor. 4:7Ro 12:6
1 Kor. 4:7Yoh 3:27; Yak 1:17
1 Kor. 4:71Pe 4:10
1 Kor. 4:7Gal 6:14
1 Kor. 4:8Ufu 3:17
1 Kor. 4:8Ufu 20:4, 6
1 Kor. 4:82Ti 2:12; Ufu 3:21
1 Kor. 4:91Ko 15:32
1 Kor. 4:9Zb 44:22; Ro 8:36; 2Ko 6:9; Ufu 6:9
1 Kor. 4:9Ebr 10:33
1 Kor. 4:9Efe 6:12; 1Pe 1:12
1 Kor. 4:92Ko 2:16
1 Kor. 4:101Ko 3:18
1 Kor. 4:10Mt 10:16
1 Kor. 4:102Ko 11:29
1 Kor. 4:101Ko 10:12
1 Kor. 4:10Gal 2:6
1 Kor. 4:10Yoh 8:49
1 Kor. 4:11Flp 4:12
1 Kor. 4:112Ko 11:27
1 Kor. 4:11Ro 8:35
1 Kor. 4:11Mdo 14:19; 23:2; 2Ko 11:24
1 Kor. 4:11Mt 8:20
1 Kor. 4:121Th 2:9
1 Kor. 4:12Mdo 18:3; 20:34; 2Th 3:8
1 Kor. 4:12Zb 109:28; Ro 12:14; 1Pe 3:9
1 Kor. 4:12Mt 5:44
1 Kor. 4:131Pe 2:23
1 Kor. 4:13Omb 3:45
1 Kor. 4:142Ko 6:13
1 Kor. 4:15Gal 3:24
1 Kor. 4:153Yo 4
1 Kor. 4:15Gal 4:19; 1Th 2:11
1 Kor. 4:161Ko 11:1; Flp 3:17; 1Th 1:6
1 Kor. 4:17Mdo 19:22; Flp 2:19; 1Th 3:2
1 Kor. 4:172Ti 1:2
1 Kor. 4:17Lu 6:40; 2Ti 1:13
1 Kor. 4:181Ti 3:6
1 Kor. 4:19Mdo 18:21; Yak 4:15
1 Kor. 4:201Ko 2:4; 1Th 1:5
1 Kor. 4:212Ko 10:8; 13:10
1 Kor. 4:21Gal 6:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 4:1-21

1 Wakorintho

4 Acheni mtu atukadirie sisi hivyo kuwa tuko chini ya+ Kristo nasi ni wasimamizi-nyumba+ wa siri takatifu+ za Mungu. 2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+ 3 Basi kwangu ni jambo dogo sana kwamba ninyi au baraza la kibinadamu mnichunguze.+ Hata mimi sijichunguzi mwenyewe. 4 Kwa maana sifahamu+ kitu chochote dhidi yangu mwenyewe. Lakini kwa hilo sionyeshwi kuwa mwadilifu, bali yeye anayenichunguza ni Yehova.+ 5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+

6 Basi, akina ndugu, mambo haya nimeyahamisha ili kuyatumia juu yangu mwenyewe na Apolo+ kwa faida yenu, ili katika hali yetu mjifunze kanuni: “Msipite mambo yaliyoandikwa,”+ ili msijivune+ mtu mmoja-mmoja kwa kumpendelea mtu mmoja juu ya mwingine.+ 7 Kwa maana ni nani anayekufanya wewe kuwa tofauti+ na mwingine? Kwa kweli, una nini ambacho hukupokea?+ Basi, ikiwa kwa kweli ulikipokea,+ kwa nini unajisifu+ kana kwamba hukukipokea?

8 Ninyi tayari mmepata shibe yenu, sivyo? Ninyi tayari ni matajiri, sivyo?+ Mmeanza kutawala mkiwa wafalme+ bila sisi, sivyo? Nami ningalipenda kwamba muwe mmeanza kutawala mkiwa wafalme, ili sisi pia tutawale pamoja nanyi tukiwa wafalme.+ 9 Kwa maana inaonekana kwangu kwamba Mungu ametuweka sisi mitume mwisho katika wonyesho wa hadharani+ kama watu waliowekewa kifo,+ kwa sababu tumekuwa tamasha+ kwa ulimwengu, na kwa malaika,+ na kwa wanadamu.+ 10 Sisi ni wapumbavu+ kwa sababu ya Kristo, lakini ninyi ni wenye busara+ katika Kristo; sisi ni dhaifu,+ lakini ninyi ni wenye nguvu;+ ninyi mna sifa njema,+ lakini sisi tumo katika aibu.+ 11 Mpaka saa hii sisi tunaendelea kupata njaa+ na pia kupata kiu+ na kuvaa mavazi machache+ na kupigwa+ huku na huku na kuwa bila makao+ 12 na kufanya kazi ya kutaabika,+ tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia;+ 13 tunapoharibiwa sifa, tunasihi;+ tumekuwa kama takataka ya ulimwengu, uchafu wa vitu vyote, mpaka sasa.+

14 Ninaandika mambo haya, si ili kuwaaibisha ninyi, bali kuwaonya kama watoto wangu wapendwa.+ 15 Kwa maana ingawa huenda mkawa na watunzaji+ elfu kumi katika Kristo, hakika hamna baba wengi;+ kwa maana katika Kristo Yesu mimi nimekuwa baba yenu kupitia habari njema.+ 16 Kwa hiyo, nawasihi ninyi, iweni waigaji wangu.+ 17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu,+ kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa+ na mwaminifu katika Bwana; naye atawakumbusha ninyi njia zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.

18 Wengine wamejivuna+ kana kwamba siji kwenu. 19 Lakini nitakuja kwenu hivi karibuni, Yehova akipenda,+ nami nitajua, si maneno ya wale ambao wanajivuna, bali nguvu zao. 20 Kwa maana ufalme wa Mungu hauko katika maneno, bali katika nguvu.+ 21 Mnataka nini? Je, nije kwenu nikiwa na fimbo,+ au kwa upendo na upole wa roho?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki