Wagalatia 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 watoto wangu wadogo,+ ambao tena nina maumivu ya kuwazaa mpaka Kristo aumbike ndani yenu.+ 1 Wathesalonike 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kupatana na hilo mnajua vema jinsi, kama baba+ anavyowatendea watoto wake, tulivyoendelea kumhimiza+ kila mmoja wenu, na kuwafariji na kuwatolea ninyi ushahidi,
11 Kwa kupatana na hilo mnajua vema jinsi, kama baba+ anavyowatendea watoto wake, tulivyoendelea kumhimiza+ kila mmoja wenu, na kuwafariji na kuwatolea ninyi ushahidi,