Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike 2:1

Marejeo

  • +Mdo 17:1; 2Th 3:8
  • +Mdo 17:4

1 Wathesalonike 2:2

Marejeo

  • +Mdo 16:22
  • +Mdo 16:37
  • +Mdo 16:12
  • +Mdo 17:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 133

    Furahia Maisha Milele!, somo la 59

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2009, uku. 20

    7/15/2008, kur. 8-9

    12/15/1999, kur. 23-25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/15 20; bt 133; w08 7/15 8-9; w99 12/15 23-25

1 Wathesalonike 2:3

Marejeo

  • +1Th 4:7

1 Wathesalonike 2:4

Marejeo

  • +1Ti 1:11; Tit 1:3
  • +Gal 1:10
  • +Met 17:3; Yer 11:20; 1Ko 4:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2024, kur. 30-31

1 Wathesalonike 2:5

Marejeo

  • +Met 28:23; 29:5
  • +Mk 12:40
  • +Mdo 20:33; Kol 3:5; 2Pe 2:3

1 Wathesalonike 2:6

Marejeo

  • +Yoh 5:41, 44
  • +2Ko 11:9; 2Th 3:8, 10

1 Wathesalonike 2:7

Marejeo

  • +1Fa 3:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2000, uku. 22

    9/15/1989, uku. 17

    10/1/1986, uku. 10

    5/1/1986, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 11/15 22

1 Wathesalonike 2:8

Marejeo

  • +2Ko 12:15
  • +Yoh 15:13
  • +Yoh 13:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2000, uku. 22

    10/1/1986, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 11/15 22

1 Wathesalonike 2:9

Marejeo

  • +Mdo 18:3; 20:34; 1Ko 4:12
  • +2Ko 11:9; 2Th 3:8

1 Wathesalonike 2:10

Marejeo

  • +Ebr 13:18

1 Wathesalonike 2:11

Marejeo

  • +1Ko 4:15
  • +Mdo 20:31

1 Wathesalonike 2:12

Marejeo

  • +Gal 5:16; Efe 4:1; Kol 1:10; 1Pe 1:15
  • +1Th 5:24; 2Th 1:11; 1Pe 5:10
  • +Lu 22:29

1 Wathesalonike 2:13

Marejeo

  • +1Th 1:2
  • +Mdo 11:1; Ebr 4:12
  • +Gal 1:11
  • +Flp 2:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 5

1 Wathesalonike 2:14

Marejeo

  • +Yoh 15:19; Mdo 17:5

1 Wathesalonike 2:15

Marejeo

  • +Mdo 2:23
  • +Mt 5:12; Mdo 7:52
  • +Mt 23:34; Mdo 21:13

1 Wathesalonike 2:16

Marejeo

  • +Lu 11:52; Mdo 13:50
  • +Ro 10:9
  • +Mwa 15:16; Mt 23:32
  • +Ro 1:18

1 Wathesalonike 2:17

Marejeo

  • +Ro 1:11

1 Wathesalonike 2:19

Marejeo

  • +Flp 4:1; 2Th 1:4
  • +1Th 3:13; 5:23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 The. 2:1Mdo 17:1; 2Th 3:8
1 The. 2:1Mdo 17:4
1 The. 2:2Mdo 16:22
1 The. 2:2Mdo 16:37
1 The. 2:2Mdo 16:12
1 The. 2:2Mdo 17:2
1 The. 2:31Th 4:7
1 The. 2:41Ti 1:11; Tit 1:3
1 The. 2:4Gal 1:10
1 The. 2:4Met 17:3; Yer 11:20; 1Ko 4:5
1 The. 2:5Met 28:23; 29:5
1 The. 2:5Mk 12:40
1 The. 2:5Mdo 20:33; Kol 3:5; 2Pe 2:3
1 The. 2:6Yoh 5:41, 44
1 The. 2:62Ko 11:9; 2Th 3:8, 10
1 The. 2:71Fa 3:26
1 The. 2:82Ko 12:15
1 The. 2:8Yoh 15:13
1 The. 2:8Yoh 13:35
1 The. 2:9Mdo 18:3; 20:34; 1Ko 4:12
1 The. 2:92Ko 11:9; 2Th 3:8
1 The. 2:10Ebr 13:18
1 The. 2:111Ko 4:15
1 The. 2:11Mdo 20:31
1 The. 2:12Gal 5:16; Efe 4:1; Kol 1:10; 1Pe 1:15
1 The. 2:121Th 5:24; 2Th 1:11; 1Pe 5:10
1 The. 2:12Lu 22:29
1 The. 2:131Th 1:2
1 The. 2:13Mdo 11:1; Ebr 4:12
1 The. 2:13Gal 1:11
1 The. 2:13Flp 2:13
1 The. 2:14Yoh 15:19; Mdo 17:5
1 The. 2:15Mdo 2:23
1 The. 2:15Mt 5:12; Mdo 7:52
1 The. 2:15Mt 23:34; Mdo 21:13
1 The. 2:16Lu 11:52; Mdo 13:50
1 The. 2:16Ro 10:9
1 The. 2:16Mwa 15:16; Mt 23:32
1 The. 2:16Ro 1:18
1 The. 2:17Ro 1:11
1 The. 2:19Flp 4:1; 2Th 1:4
1 The. 2:191Th 3:13; 5:23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wathesalonike 2:1-20

1 Wathesalonike

2 Kwa hakika, ninyi wenyewe mnajua, akina ndugu, jinsi ambavyo ziara+ yetu kwenu haikuwa bila matokeo,+ 2 bali jinsi, baada ya sisi kuwa tumeteseka+ kwanza na kutendewa kwa dharau+ (kama mnavyojua) katika Filipi,+ tulijipa ujasiri kwa njia ya Mungu wetu ili kuwaambia+ ninyi habari njema ya Mungu kwa kupambana sana. 3 Kwa maana himizo ambalo tunatoa halitokani na kosa au kutokana na uchafu+ au na udanganyifu, 4 bali, kama vile tumethibitishwa na Mungu kuwa tunafaa kukabidhiwa+ habari njema, hivyo sisi tunasema, kama wenye kupendeza,+ si wanadamu, bali Mungu, anayeithibitisha mioyo yetu.+

5 Kwa kweli, hakuna wakati wowote ambao sisi tumetokea ama tukiwa na maneno laini,+ (kama mnavyojua) au tukiwa na unafiki+ kwa ajili ya tamaa,+ Mungu ni shahidi! 6 Wala hatutafuti utukufu kutoka kwa wanadamu,+ hapana, ama kutoka kwenu ninyi au kutoka kwa wengine, ingawa tungeweza kuwa mzigo wenye gharama+ tukiwa mitume wa Kristo. 7 Kinyume cha hilo, tulikuwa wapole katikati yenu, kama mama mwenye kunyonyesha anavyowatunza+ kwa upendo watoto wake mwenyewe. 8 Kwa hiyo, tukiwa na upendo mwororo kwa ajili yenu,+ tulipendezwa vema kuwapa ninyi, si habari njema ya Mungu tu, bali pia nafsi zetu wenyewe,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wapendwa+ kwetu.

9 Hakika mnakumbuka akilini, akina ndugu, kazi yetu ya jasho na kutaabika. Ilikuwa kwa kufanya kazi+ usiku na mchana, ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ kwamba tuliwahubiria ninyi habari njema ya Mungu. 10 Ninyi ni mashahidi, na Mungu pia, kuhusu tulivyokuwa washikamanifu na waadilifu na wasiolaumika+ kwenu ninyi waamini. 11 Kwa kupatana na hilo mnajua vema jinsi, kama baba+ anavyowatendea watoto wake, tulivyoendelea kumhimiza+ kila mmoja wenu, na kuwafariji na kuwatolea ninyi ushahidi, 12 ili kwamba mwendelee kutembea+ kwa kumstahili Mungu anayewaita+ ninyi kwenye ufalme+ na utukufu wake.

13 Kwa kweli, ndiyo sababu sisi tunamshukuru Mungu pia bila kuacha,+ kwa sababu mlipolipokea neno la Mungu,+ ambalo mlilisikia kutoka kwetu, mlilikubali, si kama neno la wanadamu,+ bali, kama vile lilivyo kwa kweli, kama neno la Mungu, ambalo pia linafanya kazi ndani yenu waamini.+ 14 Kwa maana ninyi mlikuwa waigaji, akina ndugu, wa makutaniko ya Mungu yaliyo katika Yudea katika muungano na Kristo Yesu, kwa sababu ninyi pia mlianza kuteseka+ mikononi mwa wananchi wenzenu wenyewe mambo yaleyale kama yale ambayo wao pia wanateseka mikononi mwa Wayahudi, 15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote, 16 wanapojaribu kutuzuia+ tusiseme na watu wa mataifa ili hawa waokolewe,+ matokeo yakiwa kwamba sikuzote wao hukijaza kabisa kipimo+ cha dhambi zao. Lakini ghadhabu yake mwishowe imekuja juu yao.+

17 Na kwa habari yetu wenyewe, akina ndugu, tulipoachwa mayatima bila ninyi kwa wakati mfupi tu, kimwili, si katika moyo, tulijitahidi zaidi kuliko ilivyo kawaida ili kuona nyuso zenu tukiwa na tamaa kubwa.+ 18 Kwa sababu hiyo tulitaka kuja kwenu, ndiyo, mimi Paulo, mara ya kwanza na pia mara ya pili, lakini Shetani aliizuia njia yetu. 19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+ 20 Ninyi hakika ni utukufu na shangwe yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki