Wagalatia 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini nasema, Endeleeni kutembea kwa roho+ nanyi hamtatenda tamaa ya kimwili hata kidogo.+ Waefeso 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo, mimi, niliye mfungwa+ katika Bwana, nawasihi ninyi mtembee kwa kuustahili+ mwito mlioitiwa,+ Wakolosai 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ili mtembee kwa kumstahili+ Yehova+ kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema+ na kuongezeka katika ujuzi sahihi+ wa Mungu, 1 Petro 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+
4 Kwa hiyo, mimi, niliye mfungwa+ katika Bwana, nawasihi ninyi mtembee kwa kuustahili+ mwito mlioitiwa,+
10 ili mtembee kwa kumstahili+ Yehova+ kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema+ na kuongezeka katika ujuzi sahihi+ wa Mungu,
15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+